Pombe Kali na Mapenzi!

Kuna mkono unapofikia...
wengi wa vijana waliojiandaa na midawa ya asili na hiyo misupu ya pweza kabla ya mechi walikuja kuumbuka baada ya kutakiwa kupanda juu ya kifua cha demu kabla hajakwenda kufakamia hiyo mikonyagi.

so kama demu ni mwelewa na anakupenda kwa dhati anaweza aka enjoy hizohizo goli mbili utazompiga.
 
Karanga je?

Sasa utauliza na Korosho je? au na supu ya pweza je?....n.k. Mimi binafsi naamini mapenzi yanategemea hali ya utulivu uliyopo nayo kichwani na pia hali ya mwenzi wako....kama mambo yako hayaendi vizuri kikazi au kipesa..hata ukinywa pombe kali au gunia la karanga bado ufanisi wako unaweza kua mdogo vilevile!!
 
akina dada mnasemaje kwa upande wenu????....kweli amarula ,wine huwa zinawa wehusha???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…