Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,219
- 4,608
teh! ukizubaa huna chako. Ndugu yetu mwanajamvi mbishi. teh! Shauri zake!Gagurito kweli wewe balaa. Aendelee nazo wakati unamchongea jeneza eti. Duh mkuu akili kumkichwa au zile za kwako changanya na za kuambiwa.
teh! Mademu, pombe, kitimoto ni nomaaaaa!Ndo maana tunamwambia akili za kuambiwa achanganye na zake halafu aamue kwa nini kaambiwa hivyo
kweli ehhh!!!!!!pombe, kitimoto na mademu ni hatar kwa afya yako
Hao ni balaa!sasa je wale waendesha bodaboda maarufu ka madereva toyo hapa jijini arusha wanaopaki huku mitaa ya mrina, picnic na shivers wao tuwashauri nini coz wao ni mirungi, fegi, ganja, jogoo a.k.a kiroba orijino afu wanashushia na mademu wale ma***a wa hapo afu wanakesha, hyo lyfstyle vipi? Ni mzuka au????
Mmmmmnnnhhhh....Mi naona vyote vitamu sana, vyenye ladha tofauti sana.
Tena navipenda sana na kuvitumia sana.
Leo kaja kiongozi mmoja wa dini ananiambia niachane navyo, eti ni anasa.
Jamani anasa gani kula, kunywa na kuburudisha mwili?