Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Jambo hili nililiona kwa ndugu, rafiki na mwanafunzi mwenzangu tukiwa masomoni huko chuo kikuu. wakati huo nilikua mshirika wa unywaji kabla ya kuamua bila shuruti kuachana na hiyo habari kwa hiyari bila shuruti. haikua na shida kwangu ila sikuona umuhimu wake nikaacha...
Tukiwa masomoni, darasani au mapumzikoni hostel haikua shida. swala la mapenzi au ngono hailikua kipaumbele, wala hapakua na ratiba, stori za mapenzi au mipango ya mapenzi na marafiki wa kike.
shida ilikua kila tukienda kula gambe sasa, rariki yangu akishapakia gambe zake kadhaa tu, kurudi hostel ndio basi tena nitolee hiyo. Ni lazima aopoe muhudumu akalale nae. Na alipendelea zaidi mameneja wa hizo bar au clubs. Ikiwa sio meneja basi lazima iwe muhudumu na sio mteja mwenzie.
sasa imenishangaza katika ajira yangu ya kwanza kwenye taasisi flani ya fedha nikakutana na rafiki wa tabia hiyo. Huyu sasa afadhalli tukiwa wote anaweza kunusurika walau kuporwa cm au computer, ila akiwa mwenyewe akiopoa nae lazima aopolewe kila kitu hususan fedha, simu, sasa ya mkononi, cheni, computer na wakati mwingine viatu vikali alivyovaa.
Lakini akisha piga gambe la kutosha na ameshiba vizur, harudi tena nyumbani, na lazima aopoe na akalale na pisi kali mpaka kukuche.
kwenye ajira ya pili na hii ya sasaivi I have mate the same character friends na kuna moja mpaka ana pigwa makonzi na makofi na mkewe but ataacha two, three week anarudi kwenye uraibu huo wa pombe na ngono kitu ambacho kinahatarisha afya zao binafsi, wenza na ndoa zao.
sasa najiuliza wale wote wanao jaa kwenye bar na clubs wakinywa pombe hitimisho la starehe zao huishia kwenye ngono?
kama ni hivyo, au labda nawe ni miongoni mwa wenye tabia kama za hawa rafiki zangu, ambao hivi sasa wana familia zao. Ni hatari sana, achana tu na pombe au kunywa kiasi kistaarabu 🐒
na halafu kwa wanawake nayo pombe inawachochea kwenye hitimisho la kufanya ngono kama hao rafiki zangu wakiume?
ijulikane bayana, sikatazi au kumzuia yeyote asinywe pombe nashauri tu kunywa kistaarabu 🐒
vichocheo vinginevyo ni kama vile hali ya hewa, hususani baridi...
Tukiwa masomoni, darasani au mapumzikoni hostel haikua shida. swala la mapenzi au ngono hailikua kipaumbele, wala hapakua na ratiba, stori za mapenzi au mipango ya mapenzi na marafiki wa kike.
shida ilikua kila tukienda kula gambe sasa, rariki yangu akishapakia gambe zake kadhaa tu, kurudi hostel ndio basi tena nitolee hiyo. Ni lazima aopoe muhudumu akalale nae. Na alipendelea zaidi mameneja wa hizo bar au clubs. Ikiwa sio meneja basi lazima iwe muhudumu na sio mteja mwenzie.
sasa imenishangaza katika ajira yangu ya kwanza kwenye taasisi flani ya fedha nikakutana na rafiki wa tabia hiyo. Huyu sasa afadhalli tukiwa wote anaweza kunusurika walau kuporwa cm au computer, ila akiwa mwenyewe akiopoa nae lazima aopolewe kila kitu hususan fedha, simu, sasa ya mkononi, cheni, computer na wakati mwingine viatu vikali alivyovaa.
Lakini akisha piga gambe la kutosha na ameshiba vizur, harudi tena nyumbani, na lazima aopoe na akalale na pisi kali mpaka kukuche.
kwenye ajira ya pili na hii ya sasaivi I have mate the same character friends na kuna moja mpaka ana pigwa makonzi na makofi na mkewe but ataacha two, three week anarudi kwenye uraibu huo wa pombe na ngono kitu ambacho kinahatarisha afya zao binafsi, wenza na ndoa zao.
sasa najiuliza wale wote wanao jaa kwenye bar na clubs wakinywa pombe hitimisho la starehe zao huishia kwenye ngono?
kama ni hivyo, au labda nawe ni miongoni mwa wenye tabia kama za hawa rafiki zangu, ambao hivi sasa wana familia zao. Ni hatari sana, achana tu na pombe au kunywa kiasi kistaarabu 🐒
na halafu kwa wanawake nayo pombe inawachochea kwenye hitimisho la kufanya ngono kama hao rafiki zangu wakiume?
ijulikane bayana, sikatazi au kumzuia yeyote asinywe pombe nashauri tu kunywa kistaarabu 🐒
vichocheo vinginevyo ni kama vile hali ya hewa, hususani baridi...

pole pole ndio mpango, kila la kheri
