Pombe ni Ndugu wa madeni

Hivi nyie mnakunywa pombe gani hizo zinafikia hadi ku control maisha yenu na maamuzi yenu. Inafikia hatua hadi inakuletea financial insecurity.

Nafikiri ni ulimbukeni na kutojitambua. Mkuu Jifunze kusema HAPANA
Kuiga mambo kuna waponza.Akiniona nawanunulia bia na yeye anataka afanye hivyohivyo.Nakunywa kila slku na yeye anatamani iwe kwake.Ujinga.Anajua mimi natoa hela wapi?Nenda kula bia kwa akili mingi.Halafu kwenye bia kuna stori za uongouongo asizifuatilie atafilisika tu.😂😂😂😂
 
Hivi nyie mnakunywa pombe gani hizo zinafikia hadi ku control maisha yenu na maamuzi yenu. Inafikia hatua hadi inakuletea financial insecurity.

Nafikiri ni ulimbukeni na kutojitambua. Mkuu Jifunze kusema HAPANA
Vijana hawana akili ananunua Hennessy huku kashikilia macho matatu hata geto Hana na Wana viburi hao
 
Mkuu kuacha inawezekana ila cha msingi kata mawasiliano na hao marafiki zako
 
Hivi nyie mnakunywa pombe gani hizo zinafikia hadi ku control maisha yenu na maamuzi yenu. Inafikia hatua hadi inakuletea financial insecurity.

Nafikiri ni ulimbukeni na kutojitambua. Mkuu Jifunze kusema HAPANA
HAPANA
 
Wewe umeshatoboa mkuu ila kazana umakize ile nyumba yako ya tatu
 
Mnakunywaga pombe gani hizo?!!


Principal ya kwanza, usinywe pombe ya mtu ili nawe usim-mnyweshe mtu ..yaan pombe za kampani marufuku.

Principal ya pili, nenda bar na fixed budget ..na usiwe na card ya bank, tigo pesa wala namba ya mtu anayeweza kukutumia hela either yako au mkopo.


Ukifata hizo principals utaenda bar hadi uzeeni na hutakaa uyumbe wala kujilaumu, ukiskia story za hivi..unasema hiiiiii (in jiwe voice).
 
nashukuru kwa tangazo la ujenzi wa nyumba ya mama na matumizi yako huko SA
 
Ujinga wapombe ni pale bar unapokunywa. Usiku kunywa bia hata za m5 kisha nenda asubuh kawaombe supu wanayouza wakupe bure hata ya elf 3 tu hawakupi. Hapo ndio utaelewa kwao wewe ni mjinga flani anaekuja kuwapa hela za bure,bora ukalishe masikini kuna siku watakusaidia ila sio wenye Bar au wahudumu
 
Mkuu umeshafika miaka 50 au bado?
 
Hawa mabamedi wanaangalia mfuko tu asee ukikata basi wanaanza kukuonea huruma na kukuona mjinga.
 
Tatizo ni washkaji na si pombe
Mkuu pombe ndio huleta hao watu wewe kuna kwenda bar na club hivi ni vitu viwili tofauti

Bar unaenda kutumia Sh 15000 na club unaenda kutumia sio chini ya Sh laki 500000
 
Mkuu pombe ndio huleta hao watu wewe kuna kwenda bar na club hivi ni vitu viwili tofauti

Bar unaenda kutumia Sh 15000 na club unaenda kutumia sio chini ya Sh laki 500000
Mimi nakunywa kila siku kakini siendi kunywa bar, badili lifestyle ili utumie pesa kidogo kwenye kunywa kuliko kumaliza pesa kwa marafiki.
 
Mimi nakunywa kila siku kakini siendi kunywa bar, badili lifestyle ili utumie pesa kidogo kwenye kunywa kuliko kumaliza pesa kwa marafiki.
Kama umefika umri wa miaka 50 basi siwezi shangaa maneno yako ila kama una umri kuanzia 30+ basi nitakuwa nimeeleweka
 
Kama umefika umri wa miaka 50 basi siwezi shangaa maneno yako ila kama una umri kuanzia 30+ basi nitakuwa nimeeleweka
Sijafika 50 am over 40. Inawezekana ni uzee wangu..haya kaka endelea kula maisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…