Pombe ni Ndugu wa madeni

Sijafika 50 am over 40. Inawezekana ni uzee wangu..haya kaka endelea kula maisha
Miaka hiyo tunahitaji hekhima yako tu mkuu mana kufika hapo ni jambo kubwa sana na bado una afya njema SHUKURU.
 
Wacha woga, hakuna gari inauzwa 10k, hakuna nyumba inauzwa 100k haaa haaa mwagilia moyo!!
Ni furahaaaa kulewa na marafikii, ni furahaaa kunywa na mrafikiii.. sisi ni waleviii
 
Wacha woga, hakuna gari inauzwa 10k, hakuna nyumba inauzwa 100k haaa haaa mwagilia moyo!!
Ni furahaaaa kulewa na marafikii, ni furahaaa kunywa na mrafikiii.. sisi ni waleviii
Watu mliotoboa kimaisha mnatabu sana mkuu
 
Unalipwa TGS B then uwe mlevi wa kupindukia.

Hapa madeni lazima yakuandame.

Sometimes pombe inaendana na Income.
 
Unalipwa TGS B then uwe mlevi wa kupindukia.

Hapa madeni lazima yakuandame.

Sometimes pombe inaendana na Income.
Mkuu mimi silipwi hivyo kwa daraja 😂😂
 
C
Chai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…