Pombe si nzuri kunywa kiasi.

Pombe si nzuri kunywa kiasi.

Bismack

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2018
Posts
387
Reaction score
495
Japo maneno hayo hapo juu jana maana nzuri ila kiukweli pombe ukiinywa kistaarabu inaleta faraja sana, kwa mfano mi nikinywa najisikia kumsamehe yeyote aliye nikosea hua naanza kuona kama duniani kweli tunapita hasa napokua nakunywa huku nasikiliza nyimbo za wasanii ambao wameshatutoka hua najiona mimi si kitu kabisa cjui kwann.
Tafadhali tuambie ukinywa pombe unahisi nini.
 
Japo maneno hayo hapo juu jana maana nzuri ila kiukweli pombe ukiinywa kistaarabu inaleta faraja sana, kwa mfano mi nikinywa najisikia kumsamehe yeyote aliye nikosea hua naanza kuona kama duniani kweli tunapita hasa napokua nakunywa huku nasikiliza nyimbo za wasanii ambao wameshatutoka hua najiona mimi si kitu kabisa cjui kwann.
Tafadhali tuambie ukinywa pombe unahisi nini.
Mkuu unakuwa tayari umesha"graze"unapokunywa? Huu unywaji wako sio mzuri. In long run utakuwa kichaa[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Japo maneno hayo hapo juu jana maana nzuri ila kiukweli pombe ukiinywa kistaarabu inaleta faraja sana, kwa mfano mi nikinywa najisikia kumsamehe yeyote aliye nikosea hua naanza kuona kama duniani kweli tunapita hasa napokua nakunywa huku nasikiliza nyimbo za wasanii ambao wameshatutoka hua najiona mimi si kitu kabisa cjui kwann.
Tafadhali tuambie ukinywa pombe unahisi nini.
Vipi mkuu upo chupa ya ngapi!?.
 
Japo maneno hayo hapo juu jana maana nzuri ila kiukweli pombe ukiinywa kistaarabu inaleta faraja sana, kwa mfano mi nikinywa najisikia kumsamehe yeyote aliye nikosea hua naanza kuona kama duniani kweli tunapita hasa napokua nakunywa huku nasikiliza nyimbo za wasanii ambao wameshatutoka hua najiona mimi si kitu kabisa cjui kwann.
Tafadhali tuambie ukinywa pombe unahisi nini.
Kinyesi
 
Mkuu unakuwa tayari umesha"graze"unapokunywa? Huu unywaji wako sio mzuri. In long run utakuwa kichaa[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Hamna mkuu bia zangu hua ni tatu tu.
 
Pombe unakunywa
Kias chako unachoweza
kuhiia na co unywe mpaka
Ujione tahira
 
Ki ukwel nagonga serengeti lager 2 kwa afya..
Mara chache napiga nne ama zaid nikiwa na furaha ama huzuni.

Niliwai kuwa na girlfriend nikamtoa out siku moja. Alikunywa bia mbili tu akaanza kulia na kuwakumbuka marehemu wote wa upareni sikutegemea.hakika aliniaibisha watu wote macho kwangu.

Naona stori yako inafanana na ya huyo bibie
 
Nikinywa huwa naongea ovyo na kila mtu halafu napata uchangamfu wa gafla.
 
Ki ukwel nagonga serengeti lager 2 kwa afya..
Mara chache napiga nne ama zaid nikiwa na furaha ama huzuni.

Niliwai kuwa na girlfriend nikamtoa out siku moja. Alikunywa bia mbili tu akaanza kulia na kuwakumbuka marehemu wote wa upareni sikutegemea.hakika aliniaibisha watu wote macho kwangu.

Naona stori yako inafanana na ya huyo bibie
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ki ukwel nagonga serengeti lager 2 kwa afya..
Mara chache napiga nne ama zaid nikiwa na furaha ama huzuni.

Niliwai kuwa na girlfriend nikamtoa out siku moja. Alikunywa bia mbili tu akaanza kulia na kuwakumbuka marehemu wote wa upareni sikutegemea.hakika aliniaibisha watu wote macho kwangu.

Naona stori yako inafanana na ya huyo bibie
Hahaa..hatar sana
 
Kichwa chako cha habari kinasema "pombe si nzuri" hapo hapo ukaongezea watu wanywe "kiasi." Kwanini usiseme tuache moja kwa moja.
 
Hua nawashangaa sana wale wanaolinganisha POMBE na vitu vya kijinga kama tofali, cement na bati
 
Back
Top Bottom