Pombe,sigara na ukahaba ni marufuku Zanzibar!!!!

Umesema vyema.Nikiwa kule nimeshuhudia jinsi wanawake walivyo macho juu ndani ya mahema yao (nayaita mahema kwa vile wanaweza kuwa tupu na wakatembea, wanaweza tazama mwanamume na kumkonyezabila watu wa pembeni kuona,wanaweza tazama kw amatamanio bika watu wengi kushuhudia).zanzibar nimeshuhudia sana watu wakiwadka wake za wenzao wakienda vua, nimeshuhudia wanawake wakinikonyeza,huku wakiwa na waume zao barabarani.Wanawake hawajajifunza kataa as long as hakuna wa kuwaona.Watu wazima wanaona fahari kuongea kwa ufasaha mambo ya kishoga.

Wanongoza kwa kula supu ya pweza na mazao ya nazi ili kuongeza nguvu za ngono na kuhamasishana ngono kwa sana.Kwa ujumla wapo obsessed sana na ngono.Si haba kumkuta mzazibar kalaa mchana kwa kuchoka baada ya kushupalia sana ngono.
 
kweli nyinyi wadanganyika ni kichwa kitupu ndio mana mnashindwa kudai uwepo ya nchi yenu hivi sheria imepitishwa z'bar nyinyi inakuumeni nini si fanyeni yenu kama hamna nendeni kajengeni makanisa yalio bomolewa huko mbagala

Kikwete yupo kwa Qaboos anabembelezwa halafu aje wapa kisiwa chenu soon tuje wapiga mambomu kama magaidi.Kwa hizo akili zenu za kuazima ,watachukua wenyewe mrudi kuwa watumwa.
 
mwongo nchi inayotumia tumbaku zaidi ni china
lazima mpinge wengine pombe si mnanywea makanisani
 
mwongo nchi inayotumia tumbaku zaidi ni china
lazima mpinge wengine pombe si mnanywea makanisani

upi uthibitisho wako?au kwa vile Chin ina watu wengi?Hembu pitia nchi kumi bora duniani kwa tumbaku.Indonesia hadi watoto wanapewa na mama zao,Na hizo nchi nilizokuambia katazame vizuri.Tembea uswahilini kote tanzania na ukanda wa pwani hadi mombasa uone vibibi vimalaya vya zamani vingi ni vya kiislam,vinakohoa mfululizo kwa sigara na mirungi.
 
acheni kukataa kila kitu wenzetu wanastahili pongezi..pombe ,sigara ndio chanzo cha vyote
 

mijitu mingine inatia kichef chefu. Sasa sheria imebitishwa znz, nyie inawauma nini?

Chuki zenu zitawaua, mlitaka waboronge mfurahi.
Kweli kuna watu vilaza humu duniani.
 
acheni kukataa kila kitu wenzetu wanastahili pongezi..pombe ,sigara ndio chanzo cha vyote

sijui walitaka vihalalishwe wafurahi?
Watu wengine wana mawazo ya ajabu sana, sijui ni wivu, chuki au kitu gani.
Inakuaje mtu ukasirike unapomuona jirani yako kapatia?
 

kipimo kizuri njoo na list ya mikoa inayoongoza kwa ukimwi au unywaji pombe then uongee unachotaka.
 
big up znz, ni mwanzo mzuri. sasa wanatakiwa waongeze nguvu kwenye kupambana na madawa ya kulevya na vitendo vya ushoga.

Ukimchekea nyani utavuna mabua, wahakikishe wanalinda jamii na uchafu wa aina yoyote.
 
mwongo nchi inayotumia tumbaku zaidi ni china
lazima mpinge wengine pombe si mnanywea makanisani


mimi ni mfugaji mzuri wa kitimoto hapa ifakara...na niligundua kitimoto kinalipa sana hasa baada ya wateja kutoka zanzibar kuja na mafuso yao kubeba mdudu..nikajiuliza maswali mengi nani anakula hayo makitu huko visiwani??na wananunua hata watoto wa kitimoto na ni kwa bei nzuri,sitaacha biashara hii mana kilo moja ni sh 6000,imagine nauza nguruwe mmoja mwenye kilo mia teh teh teh,ngoja nipandishe nguruwe wazae faster...i dont care who buys.
 
kipimo kizuri njoo na list ya mikoa inayoongoza kwa ukimwi au unywaji pombe then uongee unachotaka.

kwani ukimwi ndio kipimo cha uzinzi?kama mtandao wenu wa ngono haujaingiwa na virus nani kakuambia mtakufa kwa ukimwi?By the way waislam hawapendi hifadhi data za wenye ukimwi kati yao, kama ilivyo kwa ushoga.Ila kwa wanaoishi mijini wanajua uswahili ndipo walipo waislam na ngoma ilivyo wapuputisha.
 
mijitu mingine inatia kichef chefu. Sasa sheria imebitishwa znz, nyie inawauma nini?

Chuki zenu zitawaua, mlitaka waboronge mfurahi.
Kweli kuna watu vilaza humu duniani.
Wewe ndio unati appetite?

Umejuaje kama ni chuki au ni msaada wa bure kuwaepusha na unafiki wenu?kwani zanz ni nchi huu?Mbona wanapata ruzuku ya bara itokanayo na Hayo waliyopiga mafuruku?au ndio kutaka dhoofisha uchumi dhaifu?Sasa utalii na hizo sheria zinakwenda vipi?kwani kwa kiasi kidogo sana wazanzibar wanaweza afford kinywaji decent, otherwise ni equivalent to gongo ndio wanapata kwa bwerere, au tumbaku ya kienyeji isiyotangazwa.ushoga na mengine ambayo yapo wazi kabisa hayaguswi.Sasa watakuwa wamefanya nini kwa sheria hizi zinazowabana wageni kuliko wazanzibar ktk hayo mambo?
 
SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar imepiga marufuku biashara ya ukahaba, matangazo yote ya pombe na uvutaji wa sigara katika mikusanyiko ya watu katika visiwa vya Unguja.
Sijaona jipya hapa.
 
Nadhan ni wiki iliopita kituo cha television cha Aljezeera walionyesha kiasi gani zanzibar wanautumiaji NA uingizwaji mkubwa sana wa madawa ya kulevya.

Hilo hawajaliona?
[h=1]Drug Abuse[/h]

Zanzibar faces challenging drug abuse statistics, mostly among young men who injecting themselves with a cocktail of heroin and cocaine. Drugs are more available now as Zanzibar is on the international drug routes. Increase drug abuse rates also correspond to increase in crime. Illicit drugs are a flourishing business in Zanzibar, readily available at some well known corners on the outskirts of the town. There has been a significant increase in the use of hard drugs over the past few decades, and a corresponding increase in HIV prevalence among intravenous drug users (IDUs).
Unemployment and poverty, especially among youth are key factors that contribute to the drug problem in Zanzibar. Stone Town and the northern region, where most tourist resorts are located, are the most affected. Easy access to drugs and the presence of many visitors to the island have fueled drug availability.

Drug Abuse | ZANGOC: Zanzibar NGO Cluster for HIV/AIDS Prevention and Control

 
Watu wanapata bia na kuvata sigara kama kawa. Kilichopigwa marufuku ni matangazo ya pombe na sigara. Kuhusu ukahaba sheria hiyo haitekelezeki. Mfano pale Bwawani utapambanua vipi kati ya kahaba na mwanamke yeyote mwengine anayejistarehesha weekend mfano.
 
big up znz, ni mwanzo mzuri. sasa wanatakiwa waongeze nguvu kwenye kupambana na madawa ya kulevya na vitendo vya ushoga.

Ukimchekea nyani utavuna mabua, wahakikishe wanalinda jamii na uchafu wa aina yoyote.
Nafikiri issue hapa ni kukuza uchumi na kuongeza ajira kwa vijana.
haya mambo ya uchafu sijui dhambi, sio kazi ya serikali kuhangaika na moral issues.......wawaachie viongozi wa dini wahangaike na magumegume na mashankupe.

Serikali ijenge uchumi, iangalie vyanzo vingine vya mapato......unapiga marufuku pombe wakati unachukua kodi ya Pombe? si wendawazimu huo??!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…