Pombe,sigara na ukahaba ni marufuku Zanzibar!!!!

...........naona Wagalatia mmetoneswa ! maana kama kidonda kimedonolewa na kuku !
mwaya anawadanganya.........endeleeni kulewa na msisahau....DUME !!!!!!!

kwa hiyo sheria,nategemea idadi ya wapemba kuongezeka bara maana tunagongana nao bar,..meeda na ambience,yani wananpenda sanan hizo mambo
 
Wapige marufuku na ushoga uliokubuhu,sijui yule shoga maarufu mwimbaji taarabu na yule kijana mwingine anayeshinda pale kwenye ukumbi wa Chuo cha zamani cha CCM Maisara wataenda kwa Cameron
 
Hata mchezo wa pwani wameupiga marufuku?. Maana wajamaa hawa kwa ubasha ni wenyewe.
 

Pombe na sigara ni chanzo kikoja kikubwa sana cha mapato ya serikali Tanzania, na ndiyo hela hiyo hiyo inayolipa mishahara ya Zanzibar kutoka serikali ya Muungano.

Kwa hiyo wanakataza pombe na sigara lakini wanafaidi fedha za pombe na sigara!

Na vipi misaada kutoka nchi zinazoruhusu mashoga, ruksa?
 

Isije kuwa wafuasi wa uamsho wengi wao ni hawa watumiaji na ndio wanafanya vurugu na kuchinja watu hovyo
 
Wapige marufuku na ushoga uliokubuhu,sijui yule shoga maarufu mwimbaji taarabu na yule kijana mwingine anayeshinda pale kwenye ukumbi wa Chuo cha zamani cha CCM Maisara wataenda kwa Cameron
yupi huyo?
 
Kitu ambacho si kielewi ni hiki, watu wengi wanalalamika Zanzibar imeshamiri kwa pombe, umalaya na sigara, tufanye ni kweli. Serikali imeamua kuchukua hatua na kuja na sheria watu bado wanalalamika tena.


Nnachojiuliza, wachangiaji wanatetea hivyo vitu vilivyopigwa marufuku au wanaibeza serikali kwa kuamua kuchukua hatua kupambana na haya majanga?


Nadhani tungeunga mkono juhudi za serikali za kuonyesha nia ya kukerwa na haya mambo kisha tupendekeze njia bora zaidi zinazostahili kuchukuliwa kama tunaona hii ya sasa haitaleta mafanikio.

Kwa uwajibikaji na kuchukua hatua, serikali ya mapinduzi wako vizuriganisha na bara, mfano:-

Tume zilizoundwa kuchunguza ajali za meli na boti zote zilishamaliza kazi, zikatoa mapendekezo yake na hatua zimeshachukuliwa. Tofauti na bara ambako hadi leo uwajibikaji wa tume mbalimbali bado unalalamikiwa na wengi.


Pili, wameweza kudhibiti matumizi na uingizwaji wa mifuko ya nailon, vita hii hata bara iko, lakini hijafanikiwa kabisa.
 
Nawashangaa sana wana JF mnakurupuka kuchangia hoja iliyo na vague statement,source nini,hiyo marufuku imetolewa na nani n.k.
 
Kama ni tamko la SMZ ni shurti litekelezwe,ila tahadhari lazima ichukuliwe maana Huko kwenye Makazi ya watu ndio yatafanyika yaliyokatazwa kwa kujificha.Vile vile sijui itakuwaje kwenye hoteli za kitalii,Huko ndio yatafanyika hayo
 
......kumbe mambo ya ushoga hayamo katika yale yaliyopigwa marufuku? Zanzibar inaongoza kwa kuwa na mashoga wengi naona wameamua waache mabazazi waendelee kula raha>!
 
Ngumu kumesa, wacha wakataze. najua mwezi wa ramadhani watazifuata tandika, kariakoo na buguruni, kasha watapitia na kwa kimboka na sewa, harafu wakirudi kwao Pemba meli itazama. need say more?.........:A S 41::A S 41::A S 41::A S 41::A S 41::A S 41::A S 41::A S 41😛iga makofi tafadhari
 
bara hawawezi. kuna bar karibia 10000....
 
Likisimamiwa litaleta tija ka jamii ...
 
Hawa jamaa sijui wanafikiri vipi?Wa zenj wanaokwenda oman na nchi za kiarabu wengi, ni waganga, mashoga, wauza ungawacheza ngoma na watumwa wengine. Sijui kam haya yote yanakwenda na public version ya islam?
 
Asema pia waarabu wasipewe visa za kuja kufanya uzinzi wao pale Kibo Palace Arusha.

kama imehalalishwa ktk giza, au ku export malaya na waganga bado ni wazanzibar wanahusika.Siku itakuja watarudisha kwa fujo.Kwa vile kiu ya watu ktk maisha hayo ni kubwa kuliko.
 
Kwani ile sheria ya kwamba kila mnywa pombe zenji lazima awe na leseni ilisha futwa? Maana me nikiwa zenji nagonga MMA kwa kwenda mbele na wala siulizwi leseni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…