Kwani hao uliowasema hawatoziipigia nchi kama Qatal je?Si mpaka muwe wajumbe..!!
Allah anasifia na anasema ni Kwa watu wenye akili ndio wanaelewa muujiza wake wa pombe kalituambie dini gani inaruhusu pombe
Blatter atasababisha jamaa asipite kwenye uchaguz ila Africa na Asia itambeba Gian
Watu wanaoenda pale sio kila mtu ana dini au kuamini uwepo wa Mungu.tuambie dini gani inaruhusu pombe
Kwa hyo kuzuia pombe watapoteza mashabiki ila kuhamasisha ushoga ndio haki za binadamu kweli dunia inaelekea mwisho.Pamoja na Kucheza Mpira Kombe la Dunia Ni kama Festival, Ni Mwisho wa Mwaka baada ya Hustles za Mwaka Mzima Watu wamesave kuweka Shida Zao Chini. Kuzuia Pombe ni Ujinga Tuuuu, In Either way, Ukimzuia mtu kunywa Pombe humfanyi huyu mtu asiwe Mnywaji.
FIFA wajitafakari watapoteza Mashabiki kadri miaka inavyo kwenda
Kuna mpango wa kuwafanya muache kabisa kunywa. Mwaka huu mbona mtakoma.Pamoja na Kucheza Mpira Kombe la Dunia Ni kama Festival, Ni Mwisho wa Mwaka baada ya Hustles za Mwaka Mzima Watu wamesave kuweka Shida Zao Chini. Kuzuia Pombe ni Ujinga Tuuuu, In Either way, Ukimzuia mtu kunywa Pombe humfanyi huyu mtu asiwe Mnywaji.
FIFA wajitafakari watapoteza Mashabiki kadri miaka inavyo kwenda
PatheticHio ni tabia yako usisingizie Pombe
Kwa hyo kuzuia pombe watapoteza mashabiki ila kuhamasisha ushoga ndio haki za binadamu kweli dunia inaelekea mwisho.
Kuna mpango wa kuwafanya muache kabisa kunywa. Mwaka huu mbona mtakoma.View attachment 2422142
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunalazishana kwenda peponi! tuachieni pombe yetuKuna mpango wa kuwafanya muache kabisa kunywa. Mwaka huu mbona mtakoma.View attachment 2422142
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi na kubanduliwa mumepata ruhusa ya kubanduliwa mkiwa maeneo maalum?Pombe zitauzwa mawneo maalum, na sio ndani ya uwanja mchezo ukiwa unaendelea. Kwahiyo hakuna cha maana walichofanya.
Allah anasifia na anasema ni Kwa watu wenye akili ndio wanaelewa muujiza wake wa pombe kali
Koran 16:67
And from the fruits of date palms and grapes, you derive strong drink and a goodly provision. There is indeed a sign in this for those of reason
Watu wanaoenda pale sio kila mtu ana dini au kuamini uwepo wa Mungu.
Kwa hiyo walienda kuchukua ng'ombe kwa mayahudi na manasara?Hawa Qatar achana nao kabisa wana jeuri hatari, walikua wanaagiza maziwa kutoka Saudia, wakawazingua , walienda kupandisha ndege ngombe elfu 15 kutoka Marekani mpaka Qatar
Hawana shida na mayahudi na manasara kwenye mambo ya biashara na huduma za kijamii. Shida inakuja wakiambiwa na mayahudi na manasara wafuate ushoga na usagajiKwa hiyo walienda kuchukua ng'ombe kwa mayahudi na manasara?
Haya makosa ni ya Blatter mwenyeweBlatter atasababisha jamaa asipite kwenye uchaguz ila Africa na Asia itambeba Gian