Pombe siyo chai, Uzi huu uwe maalum Kutoa Msaada Juu ya hangover....

Light saber

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2017
Posts
4,368
Reaction score
7,935
Pombe ya jana bado imenishikilia japokuwa baada ya kuamka ....Nimefata procedures zote za walevi....Kujitapisha mda naoga na kusafisha meno....Nikahakiki ...kuwa nimetapika nyongo...michozi ..mikamasi mixer miudenda......baada ya hapo nkapata supu ya Utumbo....safi ila mpaka sasa hivi nipo hovyo...mate yanajaa mdomoni...najisikia kutapika hataree....

Ilikuwa hv jana....Bro alikuja So Tukatoka out...Nkasema Kwa jina la mungu pombe nimeacha ....Alikuwa na Shem na Videm vingine mezani Saint anna...Me nkaagiza maji....As far as pombe nimeacha mara paaap mbuzi Choma nikamla kilafi .......nkavimbiwa bro akasema dawa yake Nyagi ndogo...gonga nyagi 1, 2, 3, na nusu....shushia Saint anna...Heineken zangu.....

WAKATI NAPATA MASAIBU ASUBUHI NKAKUMBUKA HUWA WANASEMA USIMJARIBU MUNGU WAKO
 
hapo ume mix pombe tofauti lazima itakuzingua ukizingatia una siku kazaa ulikua sub.
Siku nyingine ukiamka asubuhi unapiga ka kilimanjaro kamoja ka kutoa loki hapo sasa unakua umebalance mzani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hapo ume mix pombe tofauti lazima itakuzingua ukizingatia una siku kazaa ulikua sub.
Siku nyingine ukiamka asubuhi unapiga ka kilimanjaro kamoja ka kutoa loki hapo sasa unakua umebalance mzani

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi hapo kwenye kuzimua ndio huwa siwezi dawa yangu ni kuoga kupata supu ya utumbo na chapati then pepsi, na maji mengi. Hapo nakuwa sawa
 
Siku nyinginee mkuu kabla ya kwenda kulala kunywa ,maji ya mototo au ukiamka asubuhii kunywa maji ya moto menqi.

Sent using mt4 app
 
hapo ume mix pombe tofauti lazima itakuzingua ukizingatia una siku kazaa ulikua sub.
Siku nyingine ukiamka asubuhi unapiga ka kilimanjaro kamoja ka kutoa loki hapo sasa unakua umebalance mzani

Sent using Jamii Forums mobile app
kuna jamaa alinambia kuhusu kutoa lock...ila nimechafukwa mwili nikinusa tuu pombe najisikia kutapika
 
Aisee safi sana,hapa nimepasha msosi km mara 4 hivi narudi kitandani.
Ndo hapo nakumbuka kipawa ningeenda kwa mangi tu saa hii ndizi 1 supu utumbo baas na caso lite 2
 
ungekomaa na nyagi mwanzo mwisho, hapo ulipochanganya ndipo tabu ilipoanzia... ukichanganya pombe kama siyo mzoefu lazima ikulize tu. Pole[emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…