jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Hakika CCM ni chama zoefu katika siasa.Huu ni mwaka mwingine CCM pamoja na kupitia vipindi vigumu imeweza kijitetea vyema na kwa sauti kubwa.
CCM kama ilivyo vyama vingi vikongwe imeendelea kusimama kama chama imara kinachoheshimu upinzani ndani ya nchi na ukinzani kutoka mataifa dhalimu!
Hata hivyo CCM imeweza kujizatiti na kujihakikishia kuwa itaendelea kuwa madarakani kwa miaka mingi ijayo.
Bado hakuna chama mbadala kwa CCM sikivu.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
CCM kama ilivyo vyama vingi vikongwe imeendelea kusimama kama chama imara kinachoheshimu upinzani ndani ya nchi na ukinzani kutoka mataifa dhalimu!
Hata hivyo CCM imeweza kujizatiti na kujihakikishia kuwa itaendelea kuwa madarakani kwa miaka mingi ijayo.
Bado hakuna chama mbadala kwa CCM sikivu.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!