Kwa miaka 60 hawajaweza kuleta maisha bora wataweza lini? Tuache usaliti kwa wananchi tafadhali!CCM imemaliza Mkutano wake Mkuu wa 10 Kwa uchaguzi wa Viongozi wa Chama hicho ngazi ya Taifa.
Naipongeza CCM Kwa kuwa Chama bora Na chenye demokrasia ndani ya Chama sio tu katika Afrika...
Maisha bora Ni jitihada za pamoja za wananchi, CCM ikiwa mbele kama Chama kinachotawala.Kwa miaka 60 hawajaweza kuleta maisha bora wataweza lini? Tuache usaliti kwa wananchi tafadhali!
Nyie "watiifu" kwa CCM ni watiifu zaidi kwa matumbo yenu kuliko kwa taifa letu. Mnashiriki kuwatesa na kuwaumiza watanzania kwa kutumia njia za kijanja lakini dhambi yenu ipo palepale.Maisha bora Ni jitihada za pamoja za wananchi, CCM ikiwa mbele kama Chama kinachotawala.
Ndiyo maana kila Mtanzania Kwa nafasi Yake anapambana kupata maisha bora, huku CCM Na serikali Yake ikiwa imeweka Mazingira wezeshi kufanikisha azma hiyo: Maisha bora Kwa kila Mtanzabia.
Hata asiye mtiifu Kwa CCM ni mtiifu Kwa tumbo lake kwani tumbo ndo hukuwezesha kupumua!Nyie "watiifu" kwa CCM ni watiifu zaidi kwa matumbo yenu kuliko kwa taifa letu. Mnashiriki kuwatesa na kuwaumiza watanzania kwa kutumia njia za kijanja lakini dhambi yenu ipo palepale.
Dhambi ya ulafi itapasua matumbo yenu nyie wajasiriatumbo.Hata asiye mtiifu Kwa CCM ni mtiifu Kwa tumbo lake kwani tumbo ndo hukuwezesha kupumua!
Dhambi haiko CCM, dhambi ni ya MTU mmoja-mmoja, Na hii ndiyo sababu CCM itaendelea kutawala Kwa vile mnaodhani hamuitii CCM hamuitii hats jamii inayolindwa Na kulelewa na CCM (Watanzania) na hampendi kutambua jukumu zito la CCM kuyalinda na kuyasimamia maslahi ya Watanzania bila kujali wasioitii.
Amina!