py thon
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 2,476
- 4,448
Jana kwenye mechi ya nusu fainali kati ya Taifa stars na Zambia kulikuwa na mashabiki wengi wa stars wakishangilia na kuwapa sapoti vijana mpaka watangazaji wa super sport walishangaa na kusema mashabiki wa stars wamewa outsmart wale wa Zambia.
Asilimia kubwa ya wale mashabiki ni wale vijana waliozamia kwa madiba kutafuta maisha na kwa bahati nzuri nilifanikiwa kuwaona vijana 2 ambao wanakaa mtaani ila wamezamia south miaka 2 iliyopita.
Hongereni diasporas na mliozamia south Africa kwa kuonyesha sapoti ya kutukuka maana kipindi cha kwanza kelele za kidedea zilikuwa zinasikika kwa sauti ya juu sana.
Asilimia kubwa ya wale mashabiki ni wale vijana waliozamia kwa madiba kutafuta maisha na kwa bahati nzuri nilifanikiwa kuwaona vijana 2 ambao wanakaa mtaani ila wamezamia south miaka 2 iliyopita.
Hongereni diasporas na mliozamia south Africa kwa kuonyesha sapoti ya kutukuka maana kipindi cha kwanza kelele za kidedea zilikuwa zinasikika kwa sauti ya juu sana.