Pongezi kwa Eng. Hersi kwa kuchaguliwa mjumbe Kamati ya Mashindano CAF!

Pongezi kwa Eng. Hersi kwa kuchaguliwa mjumbe Kamati ya Mashindano CAF!

Makavuli

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2024
Posts
1,425
Reaction score
1,829
Nakupa pongezi kwa sababu huwezi kufikia kumi bila kuanza na moja mwendo wako uko kwenye njia sahihi, na mwelekeo wako ni mzuri!

Kuchaguliwa kuwa mjumbe wa Kamati ya Mashindano ya CAF si jambo dogo; umefanya kazi kubwa na kufanikisha mengi. Nafasi hii inakupa nafasi ya moja kwa moja kushiriki katika vikao vya Kamati ya Utendaji ya CAF, chombo cha juu kabisa cha maamuzi ya mpira wa miguu barani Afrika. Hii ni hatua kubwa zaidi ya cheo chako cha Mwenyekiti wa Vilabu barani Afrika.

Wapo wanaokubeza, lakini ipo siku wataelewa, watake wasitake. Kufika juu kunakuletea fursa nyingi za kujifunza kuhusu uongozi kwa kukutana na viongozi wakubwa wa soka Afrika. Hatutashangaa kukuona ukipata nafasi za juu zaidi za kiuongozi ndani ya CAF.

Tunakutakia kila la heri!
 
Basi hapo uto wanajiona wana mjomba kule CAF.

Ni kama wakiwa wanapita pale Wizara ya Fedha au Hazina wanatunisha tuvifua vyao utadhani wamepigwa ngumi ya mgongo.
 
Basi hapo uto wanajiona wana mjomba kule CAF.

Ni kama wakiwa wanapita pale Wizara ya Fedha au Hazina wanatunisha tuvifua vyao utadhani wamepigwa ngumi ya mgongo.
Wewe unae uko ata Mmoja? Si viongozi mnao,,utapeleka kina mangungu kule ama try again wale wazee Wana jipya Gani!
 
U
Nakupa pongezi kwa sababu huwezi kufikia kumi bila kuanza na moja mwendo wako uko kwenye njia sahihi, na mwelekeo wako ni mzuri!

Kuchaguliwa kuwa mjumbe wa Kamati ya Mashindano ya CAF si jambo dogo; umefanya kazi kubwa na kufanikisha mengi. Nafasi hii inakupa nafasi ya moja kwa moja kushiriki katika vikao vya Kamati ya Utendaji ya CAF, chombo cha juu kabisa cha maamuzi ya mpira wa miguu barani Afrika. Hii ni hatua kubwa zaidi ya cheo chako cha Mwenyekiti wa Vilabu barani Afrika.

Wapo wanaokubeza, lakini ipo siku wataelewa, watake wasitake. Kufika juu kunakuletea fursa nyingi za kujifunza kuhusu uongozi kwa kukutana na viongozi wakubwa wa soka Afrika. Hatutashangaa kukuona ukipata nafasi za juu zaidi za kiuongozi ndani ya CAF.

Tunakutakia kila la heri!
Ushahidi.
 
Wewe unae uko ata Mmoja? Si viongozi mnao,,utapeleka kina mangungu kule ama try again wale wazee Wana jipya Gani!
Unalifanya hili suala la Simba na Yanga wakati pale anatakiwa afanye kazi kwa weledi bila kupendelea timu yoyote. Nyie si mwaka jana tu mlimshambulia Motsepe kisa mmenyimwa goli?
 
Unalifanya hili suala la Simba na Yanga wakati pale anatakiwa afanye kazi kwa weledi bila kupendelea timu yoyote. Nyie si mwaka jana tu mlimshambulia Motsepe kisa mmenyimwa goli?
Nimekujibu namna ulivyojibu,,na akuna upendeleo alioufanya ama atakaoufanya,,Mimi nimempongeza ayo mengine mnaongezea nyie wenyewe!
 
Nimekujibu namna ulivyojibu,,na akuna upendeleo alioufanya ama atakaoufanya,,Mimi nimempongeza ayo mengine mnaongezea nyie wenyewe!
Kitendo chako cha kuuliza sisi tuna nani ni ishara unakubaliana na mimi kuwa unachukulia kama fursa ya nyie vyura kufaidika kwa sababu ya uwepo wake pale. Ni kama mnavyojisikia fahari mnapopita viunga vya Hazina
 
Kitendo chako cha kuuliza sisi tuna nani ni ishara unakubaliana na mimi kuwa unachukulia kama fursa ya nyie vyura kufaidika kwa sababu ya uwepo wake pale. Ni kama mnavyojisikia fahari mnapopita viunga vya Hazina
Si umebeza,,unabeza wakati auna ata icho unachokibeza ni ajabu kweli kweli,umepokelewa ulivyokuja!
 
Si umebeza,,unabeza wakati auna ata icho unachokibeza ni ajabu kweli kweli,umepokelewa ulivyokuja!
Nimekuingiza kwenye mfumo na wewe ukajaa na kwa jinsi unavyozidi kujitetea ndo jinsi unavyodhidi kudhihirisha kile nilichosema mwanzoni.

Kweli Rage alikuwa sahihi kuwaita mbumbumbu ngara23
 
Nimekuingiza kwenye mfumo na wewe ukajaa na kwa jinsi unavyozidi kujitetea ndo jinsi unavyodhidi kudhihirisha kile nilichosema mwanzoni.

Kweli Rage alikuwa sahihi kuwaita mbumbumbu ngara23
Kumbe Rage alikuwa sahihi🤣🤣 Akukosea ata kidogo!
 
Back
Top Bottom