Sungurampole
JF-Expert Member
- Nov 17, 2007
- 984
- 205
Nimesoma na kufarijika sana kuwa Shirika la haki elimu limeamua kufanya utafiti wa kina kwa shule ya sekondari ya Kariakoo iliyopo manispaa ya Tabora kwa lengo kubaini chanzo cha kufanya vibaya kwa shule za sekondari nchini.
Sijui kigezo walichotumia kupata shule hii na pia sijui itakuwa representative kwa kiasi gani lakini bado naamini tuna uwezekano mkubwa wa kupata yaliyojificha katika kadhia hii. Najua kuna tume ya Pinda lakini watanzania tuna kila sababu ya kutokuwa na imani na tume zinazoundwa na serikali kwani hawana record ya kuja na lolote jipya sana tunuona kama ni ulaji mwingine huku tatizo likibakia pale pale kama siyo kufukiwa.
Bravo Hakielimu songa mbele na mkiona vipi fikirieni kuongeza sample - hata ikibidi tuwachangie gharama naamini watanzania wengi nikiwa mmoja wao tutakuwa tayari kufanya hivyo
(source- Baruti 27.2.2013)
Sijui kigezo walichotumia kupata shule hii na pia sijui itakuwa representative kwa kiasi gani lakini bado naamini tuna uwezekano mkubwa wa kupata yaliyojificha katika kadhia hii. Najua kuna tume ya Pinda lakini watanzania tuna kila sababu ya kutokuwa na imani na tume zinazoundwa na serikali kwani hawana record ya kuja na lolote jipya sana tunuona kama ni ulaji mwingine huku tatizo likibakia pale pale kama siyo kufukiwa.
Bravo Hakielimu songa mbele na mkiona vipi fikirieni kuongeza sample - hata ikibidi tuwachangie gharama naamini watanzania wengi nikiwa mmoja wao tutakuwa tayari kufanya hivyo
(source- Baruti 27.2.2013)