Pongezi kubwa kwa Jeshi letu la Polisi kwa kazi nzuri wanayo endelea kuifanya kuhakikisha hakuna cha panya rodi wala panya buku.
Pongezi pia kwa Mkuu wa Mkoa wa DSM Makala kwa kuweka mikakati madhubuti ya kutokomeza uhalifu katika Jiji la DSM.
Ushauri;
1. Zoezi la kupambana na uhalifu haswa kwa Mkoa wa Dsm liwe endelevu ma nguvu hiyohiyo.
2. Doria ya mara kwa mara inasaidia sana, sio hadi tukio ndio Polisi wafike eneo husika.
3. Vijiwe vya uvutaji bangi visafishwe na viteketezwe maana hivyo ndivyo mazalia ya uhalifu.
4. Kila taarifa ya uhalifu ifanyiwe kazi kwa uhakika bila kupuuzia.
5. Wananchi wema washirikishwe kikamilifu katika kutoa taarifa za wahalifu.
6. Wanunuzi wa mali za wizi nao wabainishwe na wakamatwe.
Ushauri kwa Panya rodi.
1. Uhalifu haulipi zaidi ya kifo
Fanyeni kazi halali hauto sumbuliwa na Jeshi la Polisi
Pongezi pia kwa Mkuu wa Mkoa wa DSM Makala kwa kuweka mikakati madhubuti ya kutokomeza uhalifu katika Jiji la DSM.
Ushauri;
1. Zoezi la kupambana na uhalifu haswa kwa Mkoa wa Dsm liwe endelevu ma nguvu hiyohiyo.
2. Doria ya mara kwa mara inasaidia sana, sio hadi tukio ndio Polisi wafike eneo husika.
3. Vijiwe vya uvutaji bangi visafishwe na viteketezwe maana hivyo ndivyo mazalia ya uhalifu.
4. Kila taarifa ya uhalifu ifanyiwe kazi kwa uhakika bila kupuuzia.
5. Wananchi wema washirikishwe kikamilifu katika kutoa taarifa za wahalifu.
6. Wanunuzi wa mali za wizi nao wabainishwe na wakamatwe.
Ushauri kwa Panya rodi.
1. Uhalifu haulipi zaidi ya kifo
Fanyeni kazi halali hauto sumbuliwa na Jeshi la Polisi