A
Anonymous
Guest
Baada ya malalamiko juu ya stand ya mabus na daladala ya nane nane mbeya sasa mamlaka zimeanza utekelezaji WA changamoto ya ubovu wa miundombinu ya stand.
Wito wangu kwa mammalaka husiku zisisubiri wananchi walalamike wakati Hali halisi inaonekana
Wito wangu kwa mammalaka husiku zisisubiri wananchi walalamike wakati Hali halisi inaonekana