Pongezi kwa Mamlaka za Mbeya kwa kurekebisha kero hii

Pongezi kwa Mamlaka za Mbeya kwa kurekebisha kero hii

A

Anonymous

Guest
Baada ya malalamiko juu ya stand ya mabus na daladala ya nane nane mbeya sasa mamlaka zimeanza utekelezaji WA changamoto ya ubovu wa miundombinu ya stand.
Wito wangu kwa mammalaka husiku zisisubiri wananchi walalamike wakati Hali halisi inaonekana

IMG-20250313-WA0005.jpg


IMG-20250313-WA0007.jpg
 
Back
Top Bottom