Pongezi kwa Netanyahu kwa kusuasua kwa muda mrefu katika kufanya maridhiano ili ajipatie nafasi ya kuwakanda vilivyo hamas

Pongezi kwa Netanyahu kwa kusuasua kwa muda mrefu katika kufanya maridhiano ili ajipatie nafasi ya kuwakanda vilivyo hamas

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Hamas walitegemea watachapwa hata miezi 3 alafu UN na Iran waingilie kati wawaokoe ila kilichofatia ni miezi kadhaa ya kusaidiwa kwenda kugombaniana mabikra 72 huko waendapo.

20250120_151213.jpg
 
Hamas walitegemea watachapwa hata miezi 3 alafu UN na Iran waingilie kati wawaokoe ila kilichofatia ni miezi kadhaa ya kusaidiwa kwenda kugombaniana mabikra 72 huko waendapo.

Lengo lilikuwa ni kukomesha ugaidi usije kujirudia tena.

Vita vinaelekea kwisha, lakini takribani watu wote walioasisi na kusimamia utekelezwaji wa 'ruteka' ya Oct 23 nchini Israeli walikwisha kuuawa.

Hamasi itakayokuwepo sasa itakuwa na sura nyingi mpya na mawazo mapya.
 
Lengo lilikuwa ni kukomesha ugaidi usije kujirudia tena.

Vita vinaelekea kwisha, lakini takribani watu wote walioasisi na kusimamia utekelezwaji wa 'ruteka' ya Oct 23 nchini Israeli walikwisha kuuawa.

Hamasi itakayokuwepo sasa itakuwa na sura nyingi mpya na mawazo mapya.
Hakika mkuu 💯
 
Back
Top Bottom