Pongezi kwa Serikali kwa kudhibiti mgao mkali wa Umeme baada ya mgao mkali umeme

Pongezi kwa Serikali kwa kudhibiti mgao mkali wa Umeme baada ya mgao mkali umeme

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Ni kwa miezi kadhaa baada ya vilio vya mgao mkali wa umeme, hali imetulia, baadhi ya maeneo umeme haujakatika miezi mitatu mfululizo.

Ndivyo inavyobidi serikali itutumikie wananchi, kwa hali ikiendelea hivi malalamiko yanatoka wapi kwamfano ?
 
Ni kwa miezi kadhaa baada ya vilio vya mgao mkali wa umeme, hali imetulia, baadhi ya maeneo umeme haujakatika miezi mitatu mfululizo.

Ndivyo inavyobidi serikali itutumikie wananchi, kwa hali ikiendelea hivi malalamiko yanatoka wapi kwamfano ?
Kwakweli serikali yetu inastahili hongera, kuna nchi jirani zetu wanateseka sana, kama zambia umeme unakatika kwa masaa 17 kila siku aise na msimu wa joto ndio unaanza zambia sipati picha mateso watakayopata , tanzania tupo mbali sana kulinganisha na jirani zetu, nimeenda malawi pia matatizo ya umeme bado wanahangaika tu aise, southafrica hadi leo bado mgao
Hongera sana kwa tanzania, kama hujatembea nchi nyjngine kwa hapa africa huwezi kuappreciate neema na mafanikio yetu kama nchi
 
Kwakweli serikali yetu inastahili hongera, kuna nchi jirani zetu wanateseka sana, kama zambia umeme unakatika kwa masaa 17 kila siku aise na msimu wa joto ndio unaanza zambia sipati picha mateso watakayopata , tanzania tupo mbali sana kulinganisha na jirani zetu, nimeenda malawi pia matatizo ya umeme bado wanahangaika tu aise, southafrica hadi leo bado mgao
Hongera sana kwa tanzania, kama hujatembea nchi nyjngine kwa hapa africa huwezi kuappreciate neema na mafanikio yetu kama nchi
Hakuna haja ya kujilinganisha na Zambia, Malawi, n.k. Tanzania tunastahili umeme wa uhakika kwasababu tuna rasilimali nyingi mno za kuzalisha umeme
 
Hakuna haja ya kujilinganisha na Zambia, Malawi, n.k. Tanzania tunastahili umeme wa uhakika kwasababu tuna rasilimali nyingi mno za kuzalisha umeme
Nani hana rasilimali kama za tanzania? Zambia wana victoria falls wanazalisha copper ambayo inategemewa dunua nzima,
Zimbabwe ana dhahabu ya kutosha na rasilimali nyingi alikuwa na uchumi kama southafrica ila kauharibu mwenyewe, southafrica ndio most developed country kwa africa ila ameshindwa kupata umeme wa uhakika kama tanzania, kwa hili tujipe hongera tumeweza, sio kila kitu kuponda tu, ukizunguka dunia utaweza kujua naongeles nini
 
Back
Top Bottom