Pongezi kwa Timu ya Simba kwa kutoa Jezi nzuri na zenye kuvutia watazamaji na wavaaji pia

Pongezi kwa Timu ya Simba kwa kutoa Jezi nzuri na zenye kuvutia watazamaji na wavaaji pia

realMamy

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2024
Posts
3,925
Reaction score
8,853
Watu wengi wameandika kuwakosoa lakini hii ni ishara kuwa mmefanya kitu kizuri machoni pa watu.

Maboresho mnayoendelea kuyafanya kila Mwaka yanatia matumaini ya kufika mbali zaidi kuliko kutokufanya chochote.

Naupongeza uongozi Mzima kwa kuja na kitu kizuri ukiachilia mbali mapungufu madogo madogo yanayoonekana ambayo wengi wana majibu ya maswali yao.

Tunajua ni kwa jinsi gani mnatumia akili kubwa ya kubuni vitu vizuri.

Hili linavutia sana.

Kuna msemo unaosema kuwa ukitaka usikosolewe basi usiwe mtu na usifanye Chochote.

Kwa asilimia kubwa Jezi zinavutia sana. Mko vizuri. Endeleeni kupambana.

Ni mimi mdau wa Maendeleo.

B3C4392A-0411-47E7-8B8E-BD6BCA325081.jpeg
2D11CA7B-F782-4287-B2E6-B5632ACB9441.jpeg
E95B69C9-09E2-4592-9A49-9DAF1096AD37.jpeg
 
Watu wengi wameandika kuwakosoa lakini hii ni ishara kuwa mmefanya kitu kizuri machoni pa watu.

Maboresho mnayoendelea kuyafanya kila Mwaka yanatia matumaini ya kufika mbali zaidi kuliko kutokufanya chochote.

Naupongeza uongozi Mzima kwa kuja na kitu kizuri ukiachilia mbali mapungufu madogo madogo yanayoonekana ambayo wengi wana majibu ya maswali yao.

Tunajua ni kwa jinsi gani mnatumia akili kubwa ya kubuni vitu vizuri.

Hili linavutia sana.

Kuna msemo unaosema kuwa ukitaka usikosolewe basi usiwe mtu na usifanye Chochote.

Kwa asilimia kubwa Jezi zinavutia sana. Mko vizuri. Endeleeni kupambana.

Ni mimi mdau wa Maendeleo.

View attachment 3051194View attachment 3051195View attachment 3051196
Nguvu moko
 
Ila YANGA wana propaganda mbaya wanasimba simamieni kile mnachokiamini YANGA watawachezea kijinga kijinga mpaka,Hamjifunzi walikuwa wanatukana akina Baleke,Chama na Kibu kwamba ni wachezaji wabovu leo hii wamechukua YANGA ni timu la kiswahili puuzeni kila propaganda zao sasa hivi wamekuja na neno SANDA,Simba pambaneni Timu yenu ipate matokeo mazuri uwanjani uone km mtu atajadili neno SANDA.Timu yangu Manchester United hujiita Red Devils yaani Mashetani wekunda na ina mashabiki wengi Dunia Kuliko timu yeyoye kwenye sayari yetu.Kwani Shetani ni mzuri Simba uunganeni mjenge timu yenu
 
Ila YANGA wana propaganda mbaya wanasimba simamieni kile mnachokiamini YANGA watawachezea kijinga kijinga mpaka,Hamjifunzi walikuwa wanatukana akina Baleke,Chama na Kibu kwamba ni wachezaji wabovu leo hii wamechukua YANGA ni timu la kiswahili puuzeni kila propaganda zao sasa hivi wamekuja na neno SANDA,Simba pambaneni Timu yenu ipate matokeo mazuri uwanjani uone km mtu atajadili neno SANDA.Timu yangu Manchester United hujiita Red Devils yaani Mashetani wekunda na ina mashabiki wengi Dunia Kuliko timu yeyoye kwenye sayari yetu.Kwani Shetani ni mzuri Simba uunganeni mjenge timu yenu
Yanga Wana 'inferiority complex'. Kitendo cha Simba kuwazidi kwenye kila kitu kimewaumiza Kwa muda mrefu. Matokeo yake ndio uliyoyasema hapo juu. Hersi na wenzie wamegundua maumivu hayo wameamua kupitia na huo upepo ili kupiga hela. Propaganda inatumika kuwateka na ukizingatia shabiki wengi WA Yanga hawana Shule. Vitu vidogo vidogo kama jezi, mechi na Timu za nje, usajili vinatumika kama mafanikio dhidi ya Simba.
 
Watu wengi wameandika kuwakosoa lakini hii ni ishara kuwa mmefanya kitu kizuri machoni pa watu.

Maboresho mnayoendelea kuyafanya kila Mwaka yanatia matumaini ya kufika mbali zaidi kuliko kutokufanya chochote.

Naupongeza uongozi Mzima kwa kuja na kitu kizuri ukiachilia mbali mapungufu madogo madogo yanayoonekana ambayo wengi wana majibu ya maswali yao.

Tunajua ni kwa jinsi gani mnatumia akili kubwa ya kubuni vitu vizuri.

Hili linavutia sana.

Kuna msemo unaosema kuwa ukitaka usikosolewe basi usiwe mtu na usifanye Chochote.

Kwa asilimia kubwa Jezi zinavutia sana. Mko vizuri. Endeleeni kupambana.

Ni mimi mdau wa Maendeleo.

View attachment 3051194View attachment 3051195View attachment 3051196
Hizo aio Jersey mnavalishwa sanda, nyie ni maiti halali kabisa
 
Watu wengi wameandika kuwakosoa lakini hii ni ishara kuwa mmefanya kitu kizuri machoni pa watu.

Maboresho mnayoendelea kuyafanya kila Mwaka yanatia matumaini ya kufika mbali zaidi kuliko kutokufanya chochote.

Naupongeza uongozi Mzima kwa kuja na kitu kizuri ukiachilia mbali mapungufu madogo madogo yanayoonekana ambayo wengi wana majibu ya maswali yao.

Tunajua ni kwa jinsi gani mnatumia akili kubwa ya kubuni vitu vizuri.

Hili linavutia sana.

Kuna msemo unaosema kuwa ukitaka usikosolewe basi usiwe mtu na usifanye Chochote.

Kwa asilimia kubwa Jezi zinavutia sana. Mko vizuri. Endeleeni kupambana.

Ni mimi mdau wa Maendeleo.

View attachment 3051194View attachment 3051195View attachment 3051196
Sawa hongera. Mmete
Ila YANGA wana propaganda mbaya wanasimba simamieni kile mnachokiamini YANGA watawachezea kijinga kijinga mpaka,Hamjifunzi walikuwa wanatukana akina Baleke,Chama na Kibu kwamba ni wachezaji wabovu leo hii wamechukua YANGA ni timu la kiswahili puuzeni kila propaganda zao sasa hivi wamekuja na neno SANDA,Simba pambaneni Timu yenu ipate matokeo mazuri uwanjani uone km mtu atajadili neno SANDA.Timu yangu Manchester United hujiita Red Devils yaani Mashetani wekunda na ina mashabiki wengi Dunia Kuliko timu yeyoye kwenye sayari yetu.Kwani Shetani ni mzuri Simba uunganeni mjenge timu yenu
Chizi. YANGA imetoka wapi hapo?. Page ya YANGA ndio imeandika sanda? Au umevurugwa?
 
Wameona uzi ni mkali sana wamekosa cha kukosoa wamehamia kwenye sanda inawauma kama vile wanavaa wao
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Sanda ni nguo avalishwayo maiti, na vile simba imepoteza kiwango inabutuliwa tu hii inaleta maana flani, ila nadhani itakuwa mbumbumbu wana maana ingine!!!!
 
Back
Top Bottom