Pongeza kwa kuamua kutumia haki yake ya kikatiba, ila natoa angalizo kwa Lisu awe makini sana kuanzia sasa, maana chama cha chadema demokrasia yake ipo kwenye makaratasi sio kwenye uhalisia,. Tusisahau yaliyo mkuta Chacha wangwe (r.i.p), Zito kabwe n.k. Mwenye kiti hayuko tayari kung'atuka!!!.
Lisu anasifa zaidi kuliko mbowe, kitaaluma, uzoefu ktk nafasi mbalimbali, ushawishi n.k.
Lisu anasifa zaidi kuliko mbowe, kitaaluma, uzoefu ktk nafasi mbalimbali, ushawishi n.k.