Pongezi kwa wachaga kwa kutufundisha jinsi ya kutafuta na kutumia pesa

Pongezi kwa wachaga kwa kutufundisha jinsi ya kutafuta na kutumia pesa

BabaMorgan

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
4,869
Reaction score
13,137
Wakati naanza kufanya biashara ya maji wengi walinishangaa na kusema ona huyu mchaga anatuuzia maji lakini leo maji ya Kilimanjaro ni miongoni mwa biashara kubwa. Huyo ni The Late Dkt. Reginald Mengi bilionea mwenye mchango mkubwa kwa Taifa.

Hii ni acknowledgement na hakuna intention mbaya ya kudharau wala kudhihaki makabila mengine. Ndugu zetu wametufundisha kutafuta hela na hawakuishia hapo tu na pia wakatufundisha jinsi ya kuitumia.

From eastern part of Tanzania.
 
Mengi kaondoka na akili yake hawana ubunifu waliobaki..
Kabisa wamebaki kujivunia kuwa wao nibrand kubwa quality akat kina Jambo wameanza 2015 Leo hii wanaproduction line sawa nazaid ya Kilimanjaro angalia kina afya wamekuja waacha mbali uhai ktk soko la maji akat soko la maji dar lilitakiwa giant wake awe uhai kulingana na muda aliokuwa sokoni angekua na production line nyingi nakubwa zenye uwezo wakukidhi soko la dar naamikoani reguardless of qualitiy now sio ishu kwa retail anaangalia profit final user wao wanatarget ujazo na ubore kias Hadi atosheke

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Kabisa wamebaki kujivunia kuwa wao nibrand kubwa quality akat kina Jambo wameanza 2015 Leo hii wanaproduction line sawa nazaid ya Kilimanjaro angalia kina afya wamekuja waacha mbali uhai ktk soko la maji akat soko la maji dar lilitakiwa giant wake awe uhai kulingana na muda aliokuwa sokoni angekua na production line nyingi nakubwa zenye uwezo wakukidhi soko la dar naamikoani reguardless of qualitiy now sio ishu kwa retail anaangalia profit final user wao wanatarget ujazo na ubore kias Hadi atosheke

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Hayo maji sijaoni kabisa hapa mbele yangu naona Uhai hata Yale ya MAVI yatakuja wapita ...Mengi alikuwa mbunifu ila toleo la waliobaki wanatembelea kivuli cha mengi ila ubunifu iko kiwanda hamna kabisa.
 
wakinga hongereni kwa kuuza bei ya chini kuliko washindani wenu wachaga...kkoo mnapanogesha
 
Back
Top Bottom