Pongezi kwa Zakazakazi kuufafanua mgogoro wa Israel na Palestina kwa facts na kuweka udini pembeni

Hiyo ardhi awali ilikaliwa (kwanza) na Wafilisti kaka, kabla Joshua hajaamuriwa awasngamize wenyeji wote ili Israel akae.

Tukiongea uongo hata haisaidii ukristo wetu
Mkuu kwenye History haupo Sawa... Miaka ya Joshua ilikuwa ni time za kurejea kwenye Nchi ya Ahadi ambayo Ibrahim alishapewa na kina Isaac pia waliishi kabla hawajaenda Israel so stuka. Ibrahim ndio alielekezwa hiyo nchi na haikuwa na kitu wala kukaliwa na watu
 

Unajua vitu hivi vinachanganya

Nuhu alizaa watoto wa 3, Hamu, Shamu na Yafeti

Yafet ndio baba aliendeleza ukoo wa akatokea Abrahamu

Shamu ndio baba wa Wakanaani (palestina ya leo)

Ila wanavopigana kama hawajuani kabisa

Mfano mwingine

Lebanon na Jordani ni watoto wa Luthu aliozaa na mabinti zake 2 (Amoni na Moabu) na wakati wana Wa Israel wanatoka Misri walionya na Mungu wasiwapige kwasababu hizo nchi amewapa

Ila sasa hivi ni maadui wakubwa
 
Hiyo ardhi awali ilikaliwa (kwanza) na Wafilisti kaka, kabla Joshua hajaamuriwa awasngamize wenyeji wote ili Israel akae.

Tukiongea uongo hata haisaidii ukristo wetu

Iko hivi

Ibrahimu alinunua Ardhi ambayo alimzikia mkewe sara alipofariki maana aliomba apewe ardhi aweke na sehemu ya makaburi, hapo ndipo ikawa sehemu yao ya kuishi

Kumbuka wakati ule Yusufu yupo Misri, Walikuja watu 70+ ukoo wake kuja misri wakati ule wa njaa it means walikua wanaishi kwenye ardhi waliyonunua.

Wanaporudi Kanaani sasa ilikua kama kwenda kuteka
 
Miaka 1800+ hawakuingiliana na jamii zingine huko walikokua?.

Je Judea ile ndiyo hii nchi yote inayozozaniwa!?

Kama yesu alikua na rangi ya shaba kwanini netanyahu ni mweupe pee!?
Acha kukaza hicho kichwa mzee wangu, Yesu aliishi karne ipi na netanyau yupo karne ipi.?

Ww n msukuma kwa sababu baba ako n msukuma lkn mbona ww sio Mmasai kwa sababu mama ako n Mmasai.?

Zamani watoto wakike wanavunja ungo wakiwa na miaka 12 ila sasa hv ht 9 tayari, hy inatokana na life style pamoja na sababu za kimazingira.

Pia kuna kuchangamana na watu tofauti tofauti zinapelekea watu kubadilika.
Mambo hayo n simple sana kuelewa ukiamua kufungua akili ili uelewe
 
Wakristo wanatumia nguvu kubwa mno mno kuongea uongo, why? Ila naamini kabisa mnaujua ukweli ila chuki zimewajaa vifuani mwenu dhidi ya waarabu na waislamu kwa ujumla

Katika hii page ni mkristo mmoja tu ameongea ukweli na kuweka kando unafiki, ubarikiwe sana mkuu Dannion
 
Unamjua kila aliyevunja ungo zamani!?..Nina mabinti wa miaka 14 na 9,na hawajavunja ungo
 
Naomba kujua asili halisi ya wapalestina?@sky soldire ili tuwaombee tu wakakatiwe kaeneo hata size ya dar waunde taifa lao?wasipoangalia miaka 100 ijayo wapalestina watakua wamebaki 50%duniani kote

wapalestina ni waarabu kutoka mataifa ya jirani
jordan,syria,lebanone,saudia na Egypt

kifupi kulikua hamna Nchi inayoitwa palestina kabla ya israel ! Palestine ulikua ni ukanda
 

sasa alokwambia wafilisti n waarabu ni nani??
 
Miaka 1800+ hawakuingiliana na jamii zingine huko walikokua?.

Je Judea ile ndiyo hii nchi yote inayozozaniwa!?

Kama yesu alikua na rangi ya shaba kwanini netanyahu ni mweupe pee!?
🙄🙄🚮🚮
 
Ki ufasaha unatakiwa uandike wakristo. Siyo wakristu. Pia ni Yesu Kristo na siyo Yesu Ktistu.
 
Kwanza tujiulize ramani ya dunia ilichorwa mwaka gani.? Kwa vyovyote vile ramani ya Israel hauwezi kuwepo kwenye ramani ya dunia kwa sababu kwa muda huo ramani inachorwa hapakuwa na nchi ya Israel mana walisambaa duniani kote.

Ila kabla ya mchoro wa ramani ya dunia nchi ya Israel ilikuwepo.

Hvy baada ya vita vya pili vya dunia na Israel kupewa eneo bc ni lazima nchi yao ionekane kwenye ramani ya dunia.

Ni sawa na sasa hv Morogoro ikijitawala yenyew bc lazima ramani ya dunia ichorwe upya kuonyesha nchi ya Morogoro.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…