Pongezi kwa Zakazakazi kuufafanua mgogoro wa Israel na Palestina kwa facts na kuweka udini pembeni

Hapo kwenye "itaendelea" ndio Kuna mtego wafuasi wa munyaazi nawajua vizuri
 
kweli mkuu umeshuka nao poa kabisa, huyo jamaa ndo kavamia, tuachane na mambo ya kuvunja ungo tujikite kwenye mada.

salamaleko
Kuvunja uongo nimetaja kama mfano.

Afu nimetaja mambo mengi ila mbona umekazana sana na kuvunja uongo mkuu.? Au basi 😂
 
Just to be clear:

Before Israel, there was a British mandate, not a Palestinian state.
-Before the British Mandate, there was the Ottoman Empire, not a Palestinian state.
-Before the Ottoman Empire, there was the Islamic state of the Mamluks of Egypt, not a Palestinian state.
-Before the Islamic state of the Mamluks of Egypt, there was the Ayubid Empire, not a Palestinian state. Godfrey IV of Boulogne, known as Godfrey de Bouillon, conqueror of Jerusalem in 1099
-Before the Ayubid Empire, there was the Frankish and Christian Kingdom of Jerusalem, not a Palestinian state.
-Before the Kingdom of Jerusalem, there was the Umayyad and Fatimid empires, not a Palestinian state.
-Before the Umayyad and Fatimid empires, there was the Byzantine empire, not a Palestinian state.
-Before the Byzantine Empire, there were the Sassanids, not a Palestinian state.
-Before the Sassanid Empire, there was the Byzantine Empire, not a Palestinian state.
-Before the Byzantine Empire, there was the Roman Empire, not a Palestinian state.
-Before the Roman Empire, there was the Hasmonean state, not a Palestinian state.
-Before the Hasmonean state, there was the Seleucid, not a Palestinian state.
-Before the Seleucid empire, there was the empire of Alexander the Great, not a Palestinian state.
-Before the empire of Alexander the Great, there was the Persian empire, not a Palestinian state.
-Before the Persian Empire, there was the Babylonian Empire, not a Palestinian state.
-Before the Babylonian Empire, there were the Kingdoms of Israel and Judah, not a Palestinian state.
-Before the Kingdoms of Israel and Judah, there was the Kingdom of Israel, not a Palestinian state.
-Before the kingdom of Israel, there was the theocracy of the twelve tribes of Israel, not a Palestinian state.
-Before the theocracy of the twelve tribes of Israel, there was an agglomeration of independent Canaanite city-kingdoms, not a Palestinian statehood.
Actually, in this piece of land there has been everything, EXCEPT A PALESTINIAN STATE!
 
origin ya ibrahim ni wapi mpaka akafika hapo ugenini?
 
Hiyo ardhi awali ilikaliwa (kwanza) na Wafilisti kaka, kabla Joshua hajaamuriwa awasngamize wenyeji wote ili Israel akae.

Tukiongea uongo hata haisaidii ukristo wetu
israel alitokea wapi mpaka kufika kwenye nchi ya watu, na Mungu kumtaka joshua asiwaangamize wenye nchi wote.
 
Siyo 165,Ni 70AD destruction of the second temple and start of diaspora
Kiufupi wote hao ni wavamizi tu na best solution ni 2 state solution ambayo wapalestina hawataki.
kama wote ni wavamizi, wenyeji wa hyo nchi walikuwa nani? au nchi ilikuwa tupu?
 
Mm nadhan Palestin ni ukanda.

Mfano tuseme ukanda wa Afrika Mashariki ambapo kuna nchi kama TZ, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi na S. Sudan

Au nmekosea mkuu 😎
 

Hao Wapalestina walitokea Arabia.
Halafu hao waliokua wanaitwa Wafilisti walishakua extinct, yaani walitawanyika na kuwa assimilated kwenye jamii zingine.
 
embu tuelezeni hawa wayahudi/waisrael walitoka wapi wakaja kuvamia nchi ya watu, we want to know their origin
 
Wakatoliki wa Peramiho ni Watanzania, Wayahudi sio Wapalestina au Waarabu.
Nchi ya Israel imekuwepo karne na karne katika Historia.
Hivi wakatoliki wa peramiho leo hii wakisema wanaanzisha nchi yao hapo peramiho kwa kuwa wapo 100% wakatoliki na eneo hilo walipewa na Wajerumani walipokuwa wanatawala kimabavu basi ndiyo imeshakuwa sawa hivyo?
 
Miaka 1800+ hawakuingiliana na jamii zingine huko walikokua?.

Je Judea ile ndiyo hii nchi yote inayozozaniwa!?

Kama yesu alikua na rangi ya shaba kwanini netanyahu ni mweupe pee!?
Fujo zote za middle east ni hawa wazungu fake wanaojiita wayahudi .myahudi halisi muonekano wake upo kama mwarabu

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Na baadae kidogo wakawachukuwa wayahudi wa nchi za Kiarabu na Persia, mwisho kabisa wakawachukuwa wayahudi wa Kiafrika, kutokea Ethiopia. Wayahudi wa Somalia walikataa kuwachukuwa, wengine wakaenda kujichomeka na Wayahudi wa Ethiopia, wengi wao wakaondoka baada ya kupata hati za kusafiria wakaingia USA na Canada.
 
Shida ni kwamba Hamas alianzishwa na kuwa supported na Israeli ili kupambana na PLO ya Arafat. So wanavuna walichopanda or mipango Yao bado Inaendelea kuwatumia ili wavamie GAZA strip kiescelate mambo.
But nachoona ni mpango tu WA WW3. coz siamini kuwa intelejensia ya Israeli haikuona hii (???????) "ingawa Kuna taarifa kuwa misri walijua na wakawaambia but makamanda WA Israeli wakauchukuna [emoji849][emoji849] hawakumwambia Netanyau.
MI naona plan ya WW3 iko tayari kitufe kimebonyezwa.
Arabs and Hao fake Israeli wapigane mpk wawe hoi. And waulize upepo Wa propaganda za kidini so nchi nyingine zaidi ziingie vitani kila mtu akichagua upande ili iwe rahisi Kuleta Dunia Yao MOJA.
SO tutegemee mtu atapigwa nuclear soon ili kuliamsha mazima. Kama sio Ukraine basi hapo Middle Eeast.
Naomba tu nchi zangu za kiafrika zisiingie kwenye huu mgogoro maana hautuhusu. Tusipeleke kaka zetu wakafa kama walivyopigana vita ya 1 Na 2 ya dunia. Ingawa Najua puppets wengi Africa so nako tutapelekwa kama mapazia.
 
Bora hata na wewe umeongea ukweli.
Muingereza anapaswa kulaumiwa kwa hili. Aliwapatia ardhi watu wasio takiwa kwenye ardhi hiyo.

Bora wangepewa Uganda
Sehemu ya Palestina ilikuwa ni ardhi ya Wa-Israeli ya muda mrefu tu.
 
maswali mujarabu kabisa, watu wanaelezea kana kwamba kuna watu walikuwa na makazi angani makakulia huko na baada ya kuwa watu wazima ndo wakashushwa ardhini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…