Weka ushahidi wa uwepo wa Israel kabla ya mwaka 1948.Wakatoliki wa Peramiho ni Watanzania, Wayahudi sio Wapalestina au Waarabu.
Nchi ya Israel imekuwepo karne na karne katika Historia.
walikuwa wakimbizi kutoka wapi, hyo nchi waliyokimbia inaitwaje au ilikuwa inaitwaje?Porojo nyingi kuliko uhalisia.
Unakubaliana vipi na historia ya wakristo waliyiwauwa wayahudi kwa imani yao na kuikataa historia ya waliowapokea walipokuwa wakimbizi na kuwahifadhi?
Mfano Tanzania imepokea wakimbizi wa Burundi na Rwanda ikawapa eneo, baada ya miaka kadhaa wanadai hapo ni kwao kwa kuwa wamezaliwa hapo.
Inakuja hiyo?
Iwe miaka 3000 au 1000 nyuma hakujawahi kuwa na nchI ya wayahudi wala inayoitwa Usrael.
Vipi imani ya kiroho iwe na nchi?
Siyo wote, wengi wa mwanzo walikuwa ni Wazulu (Wangoni) wa kutokea Afrika Kusini, waliletwa na Wajerumani kupigana vita ya majimaji.Wakatoliki wa Peramiho ni Watanzania, Wayahudi sio Wapalestina au Waarabu.
Nchi ya Israel imekuwepo karne na karne katika Historia.
Kutokea Ulaya yote walikuwa hawatakiwi huko.walikuwa wakimbizi kutoka wapi, hyo nchi waliyokimbia inaitwaje au ilikuwa inaitwaje?
Mfano irrelevant, tunataka kujua origin ya hawa wayahudi unaosema walipewa hifadhi hapo palestina na wapalestina. walitoka wapi, ebu tuanzie hapo.Hivi wakatoliki wa peramiho leo hii wakisema wanaanzisha nchi yao hapo peramiho kwa kuwa wapo 100% wakatoliki na eneo hilo walipewa na Wajerumani walipokuwa wanatawala kimabavu basi ndiyo imeshakuwa sawa hivyo?
Rekebisha mfano wako sasa useme Wangoni wakitaka kujitenga na kuwa na taifa lao, kwa sababu Wangoni wengine ni Waislamu, Wapentekoste, Walutheri, Wapagani n.k Sio sahihi kuwachukulia Wangoni wote Wakatoliki.Siyo wote, wengi wa mwanzo walikuwa ni Wazulu (Wangoni) wa kutokea Afrika Kusini, waliletwa na Wajerumani kupigana vita ya majimaji.
Sisi Catholics tunaita hivyo 'Wakristu' na 'Yesu Kristu' na ndivyo tumezoea lakini sioni shida kwa anaeita 'kristo'Ki ufasaha unatakiwa uandike wakristo. Siyo wakristu. Pia ni Yesu Kristo na siyo Yesu Ktistu.
Hapana, sivyo utakavyo wewe, haiendi hivyo.Rekebisha mfano wako sasa useme Wangoni wakitaka kujitenga na kuwa na taifa lao, kwa sababu Wangoni wengine ni Waislamu, Wapentekoste, Walutheri, Wapagani n.k Sio sahihi kuwachukulia Wangoni wote Wakatoliki.
Kabla ya kusambaa huko ulaya yote ambako walikuwa hawatakiwi, walitokea wapi na kusambaa huko?Kutokea Ulaya yote walikuwa hawatakiwi huko.
Asante sana,hapa nimeongeza maarifaJust to be clear:
Before Israel, there was a British mandate, not a Palestinian state.
-Before the British Mandate, there was the Ottoman Empire, not a Palestinian state.
-Before the Ottoman Empire, there was the Islamic state of the Mamluks of Egypt, not a Palestinian state.
-Before the Islamic state of the Mamluks of Egypt, there was the Ayubid Empire, not a Palestinian state. Godfrey IV of Boulogne, known as Godfrey de Bouillon, conqueror of Jerusalem in 1099
-Before the Ayubid Empire, there was the Frankish and Christian Kingdom of Jerusalem, not a Palestinian state.
-Before the Kingdom of Jerusalem, there was the Umayyad and Fatimid empires, not a Palestinian state.
-Before the Umayyad and Fatimid empires, there was the Byzantine empire, not a Palestinian state.
-Before the Byzantine Empire, there were the Sassanids, not a Palestinian state.
-Before the Sassanid Empire, there was the Byzantine Empire, not a Palestinian state.
-Before the Byzantine Empire, there was the Roman Empire, not a Palestinian state.
-Before the Roman Empire, there was the Hasmonean state, not a Palestinian state.
-Before the Hasmonean state, there was the Seleucid, not a Palestinian state.
-Before the Seleucid empire, there was the empire of Alexander the Great, not a Palestinian state.
-Before the empire of Alexander the Great, there was the Persian empire, not a Palestinian state.
-Before the Persian Empire, there was the Babylonian Empire, not a Palestinian state.
-Before the Babylonian Empire, there were the Kingdoms of Israel and Judah, not a Palestinian state.
-Before the Kingdoms of Israel and Judah, there was the Kingdom of Israel, not a Palestinian state.
-Before the kingdom of Israel, there was the theocracy of the twelve tribes of Israel, not a Palestinian state.
-Before the theocracy of the twelve tribes of Israel, there was an agglomeration of independent Canaanite city-kingdoms, not a Palestinian statehood.
Actually, in this piece of land there has been everything, EXCEPT A PALESTINIAN STATE!
Akijibu hili swali nistue mkuuKabla ya kusambaa huko ulaya yote ambako walikuwa hawatakiwi, walitokea wapi na kusambaa huko?
sidhani kama atajibu, ngoja tuone.Akijibu hili swali nistue mkuu
Nenda Israel kahiji, wataanza kukutembeza kuanzia Western/Wailing Wall. Kwa msaada zaidi unaweza kumtafuta Job Ndugai akuelekeze. Vitabu vya Historia anza kusoma Israel and the Nations; F.F Bruce, David F Payne.Weka ushahidi wa uwepo wa Israel kabla ya mwaka 1948.
..."kabla Joshua hajaamuriwa awaangamize wenyeji (Palestines)wote ili"...Hiyo ardhi awali ilikaliwa (kwanza) na Wafilisti kaka, kabla Joshua hajaamuriwa awasngamize wenyeji wote ili Israel akae.
Tukiongea uongo hata haisaidii ukristo wetu
Wewe umevurugwa na kuchanganyikiwa kabisa, uko delusionalHapana, sivyo utakavyo wewe, gaiendi hivyo.
Wewe unaweza weka post au uzi wako upendavyo.
Hii mistari yako haisaidii chochote, guys we want to know the origin of jews kabla hawajaenda kuvamia hzo nchi za watu kama mnavosema.Ninaweza kukupa maandiko yote.
Kanaani walikaa mataifa/makabila zaidi ya 5.
Kukawako ugomvi kati ya wachunga wanyama wa Abramu, na wachunga wanyama wa Lutu; na siku zile Wakanaani na Waperizi walikuwa wakikaa katika nchi.
Mwanzo 13:7
Yakobo akawaambia Simeoni na Lawi, Mmenitaabisha, kunifanya ninuke vibaya kati ya watu wa nchi hii, Wakanaani na Waperizi; na mimi, kwa kuwa watu wangu ni haba, watanikusanyikia, na kunipiga, nami nitaangamizwa, mimi na nyumba yangu.
Mwanzo 34:30
MATAIFA/MAKABILA YALIYOKAA KAANANI
Itakuwa hapo Bwana atakapowaleta mpaka nchi ya Wakanaani, na Wahiti, na Waamori, na Wahivi, na Wayebusi, nchi hiyo aliyowaapia baba zako kwamba atakupa wewe, ni nchi imiminikayo maziwa na asali, ndipo mtakapoushika utumishi huu katika mwezi huu.
Kutoka 13:5
Kama unaiamini Biblia origin yao ni Ibrahim kutoka kwa Wakaldayo.Hii mistari yako haisaidii chochote, guys we want to know the origin of jews kabla hawajaenda kuvamia hzo nchi za watu kama mnavosema.
huyo ibrahim na wakaldayo nchi yao ni ipi? ilikuwa inaitwaje? inaitwaje?Kama unaiamini Biblia origin yao ni Ibrahim kutoka kwa Wakaldayo.
Ukaldayo ilikuwa ni sehemu katika nchi ya Iraq ya sasa.huyo ibrahim na wakaldayo nchi yao ni ipi? ilikuwa inaitwaje? inaitwaje?