Pongezi kwako advocate Alicia Makwabe

Pongezi kwako advocate Alicia Makwabe

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Acha Leo nikupongeze sana mwanamke shujaa Alicia! Sijui ulipo ,sikufahamu inner circle, nachojua ni kwamba ulihusika kwa asilimia mia kupigania uhai wa Tundu Lissu mumeo!

Wanadamu hatuna desturi ya kuona mchango wa mtu katika Fulani ..tunaushia kuwapongeza manesi na madaktari lakini kusema ukweli ni wewe ndiye ulihusika kipindi mumeo hawezi hata kunyanyua ncha ya kidole chake !

Asante sana Alicia ...nyuma ya afya ya Tundu Lissu picha yako haitaondoka pokea maua Yako popote ulipo.

Screenshot_20230910-120725.jpg
 
Acha Leo nikupongeze sana mwanamke shujaa Alicia! Sijui ulipo ,sikufahamu inner circle, nachojua ni kwamba ulihusika kwa asilimia mia kupigania uhai wa tundu lissu mumeo! Wanadamu hatuna desturi ya kuona mchango wa mtu katika Fulani ..tunaushia kuwapongeza manesi na madaktari lakini kusema ukweli ni wewe ndiye ulihusika kipindi mumeo hawezi hata kunyanyua ncha ya kidole chake ! Asante sana Alicia ...nyuma ya afya ya tundu lissu picha yako haitaondoka pokea maua Yako popote ulipoView attachment 2744844
Asante sana Alicia ...nyuma ya afya ya tundu lissu picha yako haitaondoka pokea maua Yako popote ulipo
83c97c795b2eae071dab9505cbaaafd1.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha Leo nikupongeze sana mwanamke shujaa Alicia! Sijui ulipo ,sikufahamu inner circle, nachojua ni kwamba ulihusika kwa asilimia mia kupigania uhai wa Tundu Lissu mumeo!

Wanadamu hatuna desturi ya kuona mchango wa mtu katika Fulani ..tunaushia kuwapongeza manesi na madaktari lakini kusema ukweli ni wewe ndiye ulihusika kipindi mumeo hawezi hata kunyanyua ncha ya kidole chake !

Asante sana Alicia ...nyuma ya afya ya Tundu Lissu picha yako haitaondoka pokea maua Yako popote ulipo.

View attachment 2744844
Huyu maza kuna siku atakula matunda ya mume wake kupigania haki
 
Maandishi ya mwandishi kama yamekaa kichokozi hivi au Mimi sijaelewa
 
Acha Leo nikupongeze sana mwanamke shujaa Alicia! Sijui ulipo ,sikufahamu inner circle, nachojua ni kwamba ulihusika kwa asilimia mia kupigania uhai wa Tundu Lissu mumeo!

Wanadamu hatuna desturi ya kuona mchango wa mtu katika Fulani ..tunaushia kuwapongeza manesi na madaktari lakini kusema ukweli ni wewe ndiye ulihusika kipindi mumeo hawezi hata kunyanyua ncha ya kidole chake !

Asante sana Alicia ...nyuma ya afya ya Tundu Lissu picha yako haitaondoka pokea maua Yako popote ulipo.

View attachment 2744844
Ni wakati sasa huyu mke wa Lissu ateuliwe kuwa Jaji wa Mahakama kuu, hawa watu ni hazina kwa serikali,
 
Back
Top Bottom