PONGEZI KWAKO LOAN OFFICER-SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE(sua)

PONGEZI KWAKO LOAN OFFICER-SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE(sua)

Lugano5

R I P
Joined
Jul 15, 2010
Posts
4,520
Reaction score
757
Napenda tenah kuchukua fursa hii kukupongeza ewe loan officer wa sua,brother sam,kwa kazi kubwa unayofanya ya kujitoa kusaidia matatzo ya wanafunzi,nikiwa mmoja ya wanafunzi uliowasaidia nashukuru sana braza!
 
Napenda tenah kuchukua fursa hii kukupongeza ewe loan officer wa sua,brother sam,kwa kazi kubwa unayofanya ya kujitoa kusaidia matatzo ya wanafunzi,nikiwa mmoja ya wanafunzi uliowasaidia nashukuru sana braza!

sina cha kukulipa bt God will pay 4me!
 
Kijana umezidi sasa. Hivi bado mko orientation?
 
huyo dogo ananikumbushia kile kipindi cha kuusha salam cha Radio one ... wako wap akina Chesco mzee wa matunda ... limonga Justin Limonga ... bob hassan marejeta n.k.

sio lazma umshukuru mtu kwa kumrusha JF unless amekuomba ili apate recognition ya ofisi yake.
We nenda kwenye ibada mwombe Mwenyezi Mungu awabariki watenda mema na atusamehe wakosefu
 
Back
Top Bottom