Pongezi Rais Magufuli na Awamu Yake ya Tano, Wafanya Maajabu Vita Dhidi ya Umasikini, Tanzania Yaongoza Dunia Kupunguza Umasikini Uliotopea-WB.

Mkuu Msnajo, kiukweli umeuliza swali la msingi sana, ambalo jibu lake linanisaidia sana kuwaelimisha hawa vichwa maji tunaobishana nao humu kuhusu ripoti hii. World Bank ni moja ya taasisi zinazoongoza kwa kufanya tafiti, tafiti hii ya kupunguza umasikini imetumia sampling za 2000-2015, halafu ripoti imetolewa 2019. Kitendo cha kuniuliza "Ni kwa nini usingetafuta ripoti currently ili ku-validate unachosema mkuu?!", ni uthibitisho na wewe pia ni mmoja wa hawa hawa vilaza wa humu ambao mkiwekewa link hamsomi, nimeweka link, ripoti hii ni ya mwaka huu!, hivyo kuulizia the current report ni ukilaza tuu wa wewe kutosoma kuwa hii repoti ni ya Dec, 2019, hivyo ni very current!. Swali labda lingekuwa kwanini utumie data za 2011 kutoa report ya 2019, hili sasa sio langu, ni la WB.
P
 
Na tutaandika kichwa cha habari;
PONGEZI RAIS MAGUFULI, AWAMU YA TANO IMENYONGA WATU WENGI!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Bado sana kaka, kwa ukilaza wangu hakukupi uhalali wa wewe kutumia information za mwaka 2011 kusifia 2019. Tafiti ni tafiti, na ripoti ni ripoti. Kuna mengi yametokea toka hicho kipindi mpaka leo! Ulipaswa kujiongeza kidogo tu, hata WB ni watu, sio miungu kwamba wapo perfect bro!! Na kuna uwezekano toka huo muda hakuna utafiti uliofanyika, na ndio maana wakatumia hizo data za zamani, so wewe ungejiuliza hicho kipindi hadi leo kuna uhalali wa kusifia awamu ya tano na sio ya tatu na ya nne?! Kwa nini hukuziona awamu zilizo katika kipindi husika?! Kwa mfano nikuulize swali, hali iliyopo leo ni sawa na ilivyokuwa 2011 kijamii, kiuchimi na kisiasa? Ukijibu hapa nitajua nawe sio kilaza. Unataka kuniambia data za mwaka 1970 tukizi publish leo utasema ni recent information?
 
Kwa mfano nikuulize swali, hali iliyopo leo ni sawa na ilivyokuwa 2011 kijamii, kiuchimi na kisiasa? Ukijibu hapa nitajua nawe sio kilaza. Unataka kuniambia data za mwaka 1970 tukizi publish leo utasema ni recent information?
Kwa vile sijafanya research, hivyo hapa naomba niite tuu kilaza.
Mwaka kesho ikizinduliwa Ripoti ya Miaka 50 ya Maonyesho Japan, Banda la Tanzania Limetia Fora, Pongezi zitakwenda kwa rais Magufuli, ila ukisoma hilo banda la Tanzania lilitia fora lini, lilitia fora mwaka 1970 wakati Tanzania ilipeleka kikosi cha wasanii 100 nchini Japan kushiriki Maonyesho Japan, Banda la Tanzania ndio liliongoza kwa ukubwa, wingi wa wasanii, na kuongoza kwa kivutio, bendi mbili za muziki, Afro 70 na Moro Jazz, Ikampeleka Mzee Morisi na ngoma zake 10, Ikampeleka Mzee Mayagilo na Bendi ya Polisi, ikampeleka Mzee Mwinamila na ngoma za asili na kujuisha wasanii wa fani zote. Toka mwaka huo 1970 mpaka leo hakuna nchi iliyovunja rekodi ya Tanzania, katika maadhimisho ya miaka 50 ya maonyesho Japan, mwakani 2020, pongezi zitakwenda kwa Magufuli kwasababu ni ripoti ya 2020 na the current regime ni ya Magufuli.
P
 
Mtani Pascal usitufanye mazuzu,kwa ripoti hiyo , jina mh.Magufuli linakuja je kwenye uzi hata kama ripoti ni ya 2019.Hizo pongezi mwaka 2020 au mwingine wowote taarifaa zikija kinyume utamlaumu nani huyo huyo mheshimiwa au?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ni muda wa kuunga mkono juhudi tofauti na hapo ML inakuita
 
Paskali hivi ukipima ukimwi 2015 result ni negative, halafu ukaja yaleta hayo majibu yako 2019 bado yatakuwa valid?
Kwenye andiko lako wewe mwenyewe umeandika "I was surprised kukuta Tanzania ndio nchi ya kwanza inayoongoza duniani kwa kupiga hatua kubwa zaidi kuondoa umasikini uliotopea, hivyo japo data ni miaka iliyopita, lakini ripoti ni mwaka huu!", yaani hata wewe umeshangazwa na hiyo ripoti kwa kuwa unajua hali halisi.
Average of total extreme poverty percentage points change over the circa year 2000-15 (start year - end year). Hata kama repoti ya 2019 lakini data ni za zamani. Hata kwenye ripoti bado wanaeleza "In some of the countries in Sub-Saharan Africa (e.g. Democratic Republic of Congo, Tanzania, Burkina Faso), extreme poverty rates, even after rapid reduction, remain above 40%. Kwa hiyo bado tuna kazi kubwa ya kuondoa umaskini uliyotopea. Tunampongeza Mh. raisi kwa kuichukua nchi ikiwa umaskini uliyotopea umepungua. Kuna mambo mengi ambayo ameyaanzisha ni mazuri ambayo huenda yakakamilika baada kumaliza muda wake, hivyo raisi ajaye anaweza kupewa hongera kwa hayo mambo.
 
Aliyesema Tanzania tunaongoza duniani katika kupunguza umasikini sio mimi wala sio Magufuli, ni Bank ya Dunia, na hawa taarifa zao ni data oriented, numbers don't lie. Sio bla bla ni ripoti ya utafiti wa kina uliofanywa na watafiti wa ukweli.
P
Awamu hii itaturudisha nyuma tena vibaya sana.
 
Mkuu ulichoelewa hebu tuwekee hapa ili wot tuelewe!!
jamaa huwa anaenda kinyume na anachomaanisha.......


msome kwa umakini utaelewa, hapa alichotaka kuonesha ni kwamba awamu hii inarudisha umaskini nchini badala ya kuzidi kupunguza.........


hujiulizi kwanini anasisitiza kwamba taarifa ni za 00-11? hujiulizi kwann anasema hawajaweka details?.... halafu anamalizia kwa kusema hizi takwimu zitatumika kwenye kampeni 2020.......


huyu jamaa ni kama alivyo masudi kipanya, ukikurupuka huwezi kumwelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
For him to get such credit from me personally he would have to wait until the analysis of his regime is given after his retirement. Half of what he is doing in economics is right but the other half especial in the human right, good governance and rule of law i don't agree with him. To vouch if his economic theories and doing have any impact to the whole community he will have to wait. Right now the credit should go to our greatest diplomatic man after Nyerere. He had his flaws but he did something to the whole community whether some of the people got a bigger part of the pie and some didn't at all but all of us had a little share of the pie.
 
Kiukweli kabisa, nilitaka kusema, Magufuli akipewa kipindi cha pili, ataumaliza kabisa umasikini, naomba kurekebisha, nikisema akipewa ni kama nimeonyesha kuna possibility asipewe, wakati hali halisi ni JPM, ameishashinda zamani, kinachotafutwa sasa ni kura nyingi tuu za kutosha!. Hapo alipo tayari anayo over 80% victory, tunahangaikia ipande hadi 90%, na wiki ya lala salama, tufike over 95%.
Kwa maendeleo ya Tanzania,
Chagua Magufuli,
Chagua CCM,
na kwa jimbo langu la KAWE, Twende na GwajiBoy!.
P
 
Acha kujiaminisha uongo . Izo takwimu feki unazitoa wapi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…