Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Habari.
Nimetazama takwimu zilizotolewa na TFF juu ya mapato yaliyokusanywa na vilabu vyote kwa msimu 2020/2021.
Ukiachana na Dar Young Africans ambao wameongoza kwa mapato ya 986.8Ml kwa mashabiki 141,681. Huku Simba SC akifatia kwa mapato ya 929.7Ml kwa mashabiki 138,518.
Namba tatu amekuwa Dodoma Jiji Fc ambaye ndio msimu wake wa kwanza wa Tanzania Premier League.
Dodoma Jiji Fc anawapa taarifa clubs zingine zimebweteka na kushiriki kwa mazoea.
Dodoma Jiji Fc hadi anamaliza league alikuwa na msimu bora pia japo ndio alikuwa amepanda daraja.
Napenda kuwapongeza uongozi na mashabiki wa Dodoma Jiji Fc waliojitokeza kwa timu yao changa ila imefanya vyema kabisa.
Dodoma Jiji Fc ameingiza mapato ya Sh 148.1Ml akiwa ameshika nafasi ya tatu kwa ukusanyaji wa mapato.
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Kongole Dodoma Jiji FC.
Cc: Kichwa Kichafu
Nimetazama takwimu zilizotolewa na TFF juu ya mapato yaliyokusanywa na vilabu vyote kwa msimu 2020/2021.
Ukiachana na Dar Young Africans ambao wameongoza kwa mapato ya 986.8Ml kwa mashabiki 141,681. Huku Simba SC akifatia kwa mapato ya 929.7Ml kwa mashabiki 138,518.
Namba tatu amekuwa Dodoma Jiji Fc ambaye ndio msimu wake wa kwanza wa Tanzania Premier League.
Dodoma Jiji Fc anawapa taarifa clubs zingine zimebweteka na kushiriki kwa mazoea.
Dodoma Jiji Fc hadi anamaliza league alikuwa na msimu bora pia japo ndio alikuwa amepanda daraja.
Napenda kuwapongeza uongozi na mashabiki wa Dodoma Jiji Fc waliojitokeza kwa timu yao changa ila imefanya vyema kabisa.
Dodoma Jiji Fc ameingiza mapato ya Sh 148.1Ml akiwa ameshika nafasi ya tatu kwa ukusanyaji wa mapato.
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Kongole Dodoma Jiji FC.
Cc: Kichwa Kichafu