Pongezi wakuu wapya wa idara, taasisi, wakala na mamlaka mliochukua nafasi za waliotia nia

Pongezi wakuu wapya wa idara, taasisi, wakala na mamlaka mliochukua nafasi za waliotia nia

Mao Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2018
Posts
210
Reaction score
231
Ujumbe muhimu: Likizo ya Bila malipo huendi na cheo, na ukirudi hukikuti

Idara Kuu ya Utumishi Pongezi kwa kuonesha weledi katika kusimamia taratibu za umma.

Tumeona mmefuata mfano mwema wa Rais wetu kwa kuwapa nafasi wateuliwa wapya baàda ya walikuwa na nafasi hizo kujaa tamaa.

Maajabu makubwa kuona Mkurugenzi wa Wakala, Mamlaka na Taasisi za Serikali, tena nyingine zina bajeti na makusanyo makubwa kuliko Hata halmahauri zetu wakitupilia mbali majukumu waliyopewa na Kwenda kutafutiza vyeo vingine. Walionesha utovu wa nidhamu.

Ilikuwa ni utovu wa nidhamu kwa kiongozi Mkuu wa Utumishi Mh. Dr. John Pombe Magufuli. Waachane wapumzike hata baàda ya kumaliza likizo zao.

Mliopata nafasi hizo eneeni kwenye viti hivo, mnafaa, mnastahili, msaidieni Rais.

Ni hayo tu kwa leo. Njiani kwenda Kagera.
 
Mkuu kwani Kutaka nafasi nyingine ni Tamaa?? kwanini hukubaki kwenu huko vijijini usijifunze japo kutumia simu kama ni Tamaa?? Kumbe ukitaka nafasi yeyote ya JUU NI tamaa?

kama ni hivyo tusingekua na Hata Marais mana walikua Mawaziri lakini Wakagombea URAIS..tusingekua na Wakuu wa Idara mana kila mtu atakua na tamaa..

Naamini unataka uchonganishe Serikali au chama chetu CCM na watumishi ili mfaidike nyie upinzani..CCM angalieni huu mtego msiuingie.
 
Mkuu kwani Kutaka nafasi nyingine ni Tamaa?? kwanini hukubaki kwenu huko vijijini usijifunze japo kutumia simu kama ni Tamaa?? Kumbe ukitaka nafasi yeyote ya JUU NI tamaa?

kama ni hivyo tusingekua na Hata Marais mana walikua Mawaziri lakini Wakagombea URAIS..tusingekua na Wakuu wa Idara mana kila mtu atakua na tamaa..

Naamini unataka uchonganishe Serikali au chama chetu CCM na watumishi ili mfaidike nyie upinzani..CCM angalieni huu mtego msiuingie.
Pongezi kwa kuandika point
 
Watu wamechoka kuburuzwa wanaona heri wawe bungeni ambako wanajiburuza wenyewe
 
Back
Top Bottom