Pongezi za dhati kwa bwana Donald Trump kwa kuichangamsha dunia

Pongezi za dhati kwa bwana Donald Trump kwa kuichangamsha dunia

Pantosha

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
640
Reaction score
958
Kodi za wamerekani zimetumika duniani kote na hivyo either kuchangia maendeleo katika baadhi ya nchi au kuchangia machafuko, uharibifu katika nchi zingine.

Sera za mabeberu za kuzifanya nchi zenye viumbe wasiojielewa kuwa tegemezi wa misaada, zimeingeza mmomonyoko wa maadali katika jamii, pamoja na kufutilia mbali ajenda ya kujitegemea. Viumbe hao wanachojua ni kuomba-omba na kuchukua mikopo ya kausha damu.

Trump amevunja-vunja mijimili ya dunia ambayo kwake anaona wanachangia kueneza ushoga, ukandamizaji, unyanyasaji, matumizi mabaya ya pesa, nk.
Ajenda yake ya kuifanya marekani kuwa juu tena (MAGA), inamfanya atafute fursa zozote zile za kubana matumizi na kuinua uwekezaji wa ndani.

Ikiwa marekani wanafikiria kubana matumizi, sisi ni nani tuendelee kujiachia tena kwa pesa ya misaada au mikopo?
 
Tumpe kazi Elon Musk atusaidie kupunguza mikopo na matumizi yasiyo na umuhimu na ufisadi. Na sisi tuanzishe kitengo cha ufanisi.

Mfano pesa za kununua na kutoa rushwa kwa wapinzani, chawa, wasanii, kupunguza mabango warsha, semina, makongamano na safari zisizo na tija. Mikopo ya kujenga vyoo na mikopo ya kulipa mikopo.

Tuanze na kuvunja kitengo cha uchawa na bajeti yake.
 
Kodi za wamerekani zimetumika duniani kote na hivyo either kuchangia maendeleo katika baadhi ya nchi au kuchangia machafuko, uharibifu katika nchi zingine.

Sera za mabeberu za kuzifanya nchi zenye viumbe wasiojielewa kuwa tegemezi wa misaada, zimeingeza mmomonyoko wa maadali katika jamii, pamoja na kufutilia mbali ajenda ya kujitegemea. Viumbe hao wanachojua ni kuomba-omba na kuchukua mikopo ya kausha damu.

Trump amevunja-vunja mijimili ya dunia ambayo kwake anaona wanachangia kueneza ushoga, ukandamizaji, unyanyasaji, matumizi mabaya ya pesa, nk.
Ajenda yake ya kuifanya marekani kuwa juu tena (MAGA), inamfanya atafute fursa zozote zile za kubana matumizi na kuinua uwekezaji wa ndani.

Ikiwa marekani wanafikiria kubana matumizi, sisi ni nani tuendelee kujiachia tena kwa pesa ya misaada au mikopo?
Upewe "vieiti" yako ikiwa full tank.
 
Kodi za wamerekani zimetumika duniani kote na hivyo either kuchangia maendeleo katika baadhi ya nchi au kuchangia machafuko, uharibifu katika nchi zingine.

Sera za mabeberu za kuzifanya nchi zenye viumbe wasiojielewa kuwa tegemezi wa misaada, zimeingeza mmomonyoko wa maadali katika jamii, pamoja na kufutilia mbali ajenda ya kujitegemea. Viumbe hao wanachojua ni kuomba-omba na kuchukua mikopo ya kausha damu.

Trump amevunja-vunja mijimili ya dunia ambayo kwake anaona wanachangia kueneza ushoga, ukandamizaji, unyanyasaji, matumizi mabaya ya pesa, nk.
Ajenda yake ya kuifanya marekani kuwa juu tena (MAGA), inamfanya atafute fursa zozote zile za kubana matumizi na kuinua uwekezaji wa ndani.

Ikiwa marekani wanafikiria kubana matumizi, sisi ni nani tuendelee kujiachia tena kwa pesa ya misaada au mikopo?

Trump anawabatiza Watu hususani Watu weusi wenye akili zenye mushkeli mkubwa kwa ubatizo wa moto.
Trump anafanya vyema, hii itasaidia sana kuwafanya waAfrika wengi(hususani Watu weusi) kuanza kuwa na akili nzuri ya kuweza kujitegemea wao wenyewe.
Hata Watawala waliopo watakuwa na Heshima na nidhamu ya hali ya juu kabisa katika Matumizi ya Fedha za Kodi za Wananchi.
Siyo siri hata kidogo,Watawala karibia wote kabisa wa nchi za Afrika hawana kabisa nidhamu nzuri ya hali ya juu katika Matumizi ya Fedha za Kodi za Wananchi waliopo katika nchi zao. Watawala wengi sana ni Wezi, Mafisadi, Wafujaji Sana wa Fedha za Kodi, n.k.
Tazama msafara huu wa Kiongozi huyu wa nchi fulani hapa Afrika kisha jiulize:- Je, ni gharama kubwa kiasi gani ilitumika kwenye msafara huu wa anasa? Je, kuna ULAZIMA wowote ule wa kuwa na misafafara kama hii kwenye nchi hiyo ambayo Bajeti yake ya kila Mwaka hutegemea Misaada kutoka Marekani na washirika wake? Je, Wananchi wa kawaida waliopo katika nchi hiyo wanaweza kupata faida gani hasa kutokana na misafafara yenye misururu mirefu ya magari kama huu?

Tafakari, Chukua Hatua!
 

Attachments

  • 5771391-6b7300c48c43013b94b420cc6e416c60.mp4
    8.3 MB
Kabadilisha stori kidogo, tulishachoka stori za Hamas na Putin deile toka kwa mashabiki wa vita wanaofikiria ni kama yanga na simba, tunapumua kidogo sasa! Dunia ilizubaa sana kwa kuwa na rais wa dunia mzee na mnyonge!
 
Back
Top Bottom