Kwa miaka yote nilikuwa nikitaka kwenda Tanzania kwa KLM ilikuwa lazima ipitie KIA kushusha wageni lakini kwa mara ya kwanza ndege yangu itatua Zanzibar halafu inaenda Dar.
KLM siku moja wanaenda Zanzibar na siku inayofuata wanaenda KIA. Lakini hoteli za Zanzibar nimeona zimepanda bei sana kwa maana watalii wameongezeka sana.
Hizi ni kati ya zile pongezi ambazo ni lazima tuzitoe. Tuhakikishe tu mapato yanatumika vizuri na hizo hotel wasije wakawa na account nje halafu pesa ziwe zinabaki huko nyingi.
KLM siku moja wanaenda Zanzibar na siku inayofuata wanaenda KIA. Lakini hoteli za Zanzibar nimeona zimepanda bei sana kwa maana watalii wameongezeka sana.
Hizi ni kati ya zile pongezi ambazo ni lazima tuzitoe. Tuhakikishe tu mapato yanatumika vizuri na hizo hotel wasije wakawa na account nje halafu pesa ziwe zinabaki huko nyingi.