Poor Ali Kiba, kama hujui kiingereza ni vema kuongea lugha yako tu

Haha you must always improve but mr you know, you know hey guy never seat in your comfort zone keep improving!
 
Hayuko peke yake.....kuna watu wazima wazito na wakubwa kweli kweli hawataki hata kupanda Dear bomba kwenda ng'ambo kwa sabb ya mambo ya u know u know hayo
Uo sasa uchochezi ......
 
ha ha ha ha ha jaman dah nmecheka sana mods embu muitoe hii clip jaman dah kwel hzi lugha zimekuja na majahaz its humiliating
 
Hahahahaha! Kha!
 
Umejitahidi ...enhe haya hebu kosoa sasa kuwa hapa badala ya kusema hivi yeye kakosea kasema hivi...Japo kuna pengine nadhania ni makosa yako ya uandishi, maana kasema i've encouraged wewe umeandika i've courage....,anyways, haya toa makosa sasa
Sio kukosea sijui badala ya hivi ingekuwa vile, alichokiongea hakikuwa na maana yoyote.
 
M
Hajui hata utofauti kati ta I created na I made.
 
You know you know aaaaaa you know,is like is like aaeeeee feel very very ok.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…