Poor Ali Kiba, kama hujui kiingereza ni vema kuongea lugha yako tu

Natamani kuifuta ila nashindwa ni aibu ,kwanza jamaa anajiona fundi wa music kumbe mbjrura tu
 
Daah mbona kawaida sana wewe BOYA, mbona mataifa mengi tu ya ULAYA,Asia na Afrika ni jambo la kawaida tu, lugha hizi hatukuzaliwa nazo tunajifunza,sasa nakushaangaa wewe Sijui umeona jambo gani la ajabu.
 
Natamani kuifuta ila nashindwa ni aibu ,kwanza jamaa anajiona fundi wa music kumbe mbjrura tu
True... yani anajiona kama R.Kelly vile!

Kibakuli kaboa bana sio siri!
 
Halafu anavyopaisha hiyo mikono sasa!

Yaani hadi anayemhoji kaamua kusepa maana hamuelewi kabisa

Shame on you Kibakuli kwa kutudhalilisha watanzania ( si ujifunze!)
Inaboa sana aisee. I dont hold any grudges against him nor do I happen to be a hater when it comes to his success as a musician,lakini mambo ya hovyo kama haya hunifanya nimwone hastahili hadhi anayopewa.
 
Yaani hadi Ninayeangalia naona Moyo unanitoka .... Nabana Hadi pumzika kwa Aibu
 
Mondi na kiba wote mle mle, kama wanaona hawataelewa maswali wawe na wakalimani tu, wataeleweka mboma mameneja wao ngeli inapanda? Na hawa mameneja si wangekuwa wanawashauri na kuwasaidia badala ya kukaa kwa audiance
rodman no, mondi natisha kaka yuko vizuri
 
HIVI HII INCHI INA LAANA GANI? YAANI INA WATU WA AJABU WASIOJITAMBUA,
63% WANAOMALIZA ELIMU YA JUU SI WAAJIRIKA,
1 KATI YA 4 ANA MATATIZO YA AKILI,
UNAWEZA KUPATA PHD KWA MIAKA 3 TENA PART-TIME,
THESIS/DISSERTATION MTU ANA TUMIA GOOGLE AU ENCYCLOPEDIA NA ANAPATA DARAJA LA KWANZA,
MTU ANAANDIKA BARUA YA KUJIUDHURU NA TAREHE RASMI LAKINI KESHO YAKE ANARUDI NA KUSEMA NIMEBADILI MAWAZO SIJIUDHURU TENA.

NA MIFANO MINGI TUNAONA HUMU JF.
HUYU BWANA MKUBWA Renatus Edward ANAONA UFAHALI KUMCHEKA ALI KIBA SABABU KAONGEA KINGEREZA CHA KUSHIKIA KWA MUONO WANGU ALI KIBA KAJITAHIDI SANA NA KWANINI NASEMA HIVYO:

ALI KIBA KAMA ALISOMA SANA BASI NI FORM FOUR, 2: KINGEREZA SI LUGHA YAKE YA TAIFA WALA YA KUZALIWA, 3: AMEJIELEZA NA KUELEWEKA JAPOKUWA NA MAPUNGUFU YA VOCABULARY, 4: KUNA WATU WAMESOMA NA WANA PHD NCHI HII HATA SENTENSI TANO HAWAWEZI KWA KINGEREZA, 5: KINGEREZA NI LUGHA TU KAMA NYINGINE NA LUGHA NI MFUMO WA MAWASILIANO NA ILI MAWASILIANO YATIMIE NI PALE UNAPOTA UJUMBE UKAINGIA AKILINI NA KU-DECODE MAELEZO KWENYE MAANA HALISI 6: AMETUMIA NA ISHARA ZA MIKONO ILI KUFIKISHA ANACHOONGEA 7: HAKUNA ALIYEMCHEKA PALE NA KAMA YUPO BASI ATAKUWA M.P.U.M.B.A.V.U TU, 8: ALI KIBA ANAIMBA KWA KISWAHILI NA KWA HICHO HICHO KISWAHILI LEO HII ANASIMAMA KWENYE WORLD PLATFORMs WAKATI WEWE UTABAKI KUWA JF's KEYBOARD HERO

KAMA ANGEKUWA MTU WA TAIFA LINGINE LA AFRICA ANAONGEA BROKEN SWAHILI MNGE RUKA RUKA JAMAA KAJITAHIDI KWELI, ILA IKITOKEA UPANDE WA PILI MNAKANDIA HUO NI UPUMBAVU NA USHAMBA.

BADO HAMJAKUWA KIAKILI NA KIFIKRA. MTABAKIWA KUWA WATUMWA WA CHUKI BILA KUJITAMBUA NAFSI ZENU.

IF YOU DON'T LET IT GO WITH GRACE, THEN IT WILL STAY ON YOUR FACE!! KIJANA



 
Mondi na kiba wote mle mle, kama wanaona hawataelewa maswali wawe na wakalimani tu, wataeleweka mboma mameneja wao ngeli inapanda? Na hawa mameneja si wangekuwa wanawashauri na kuwasaidia badala ya kukaa kwa audiance
ttz kiba anajikuta ni almas sana na mkubwa kimuzik kwa kuingia kwa Ras simba shiling ngap au akae na Jojo vzr mana kale kabint ni Degree holder ya mliman mpige brush aisee aibu saana you know zinakuwa nying
 
Kwanini asinge ongea kiswahili kama baraka au angeenda na seven aokoe jahazi, ila sio mbaya mwanzo mgumu au Salam sk kamwibia dictionary .
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Wa2 mna maneno!!!!
 
Ni wadogo zetu ni vizuri kuwapa ushauri ili wasonge mbele,

Tusiwavunje Moyo ,ushauri mzuri kwao waache mambo ya hovyo hovyo,

Na unapoongea sio lazima mabega nayo yaongee hii inapunguza kutojiamini,

Wale watu wa karibu yao ni vizuri kuwashauri wakati wote .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…