Ndo nini hayo Majini ni ya venue au??Diamond plutnumz,Simba,jini,mond bin Laden,Baba tiffa,WCB CEO, e.t.c......πππ
hapana haya ni ya stadium.....Ndo nini hayo Majini ni ya venue au??
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] salama sk c mtu wa mchezo mchezoKwanini asinge ongea kiswahili kama baraka au angeenda na seven aokoe jahazi, ila sio mbaya mwanzo mgumu au Salam sk kamwibia dictionary .
Mondi na kiba wote mle mle, kama wanaona hawataelewa maswali wawe na wakalimani tu, wataeleweka mboma mameneja wao ngeli inapanda? Na hawa mameneja si wangekuwa wanawashauri na kuwasaidia badala ya kukaa kwa audiance
Kwa lipi mxyuuuuuMkome Diamond wewe.
Huwezi ukamlinganisha Alikiba na Mondi wewe? Kwa lipi labda? Maana kila kitu Mondi amemzidi Ali labda majungu na wivu ndo vitu ambavyo Alikiba anamzidi MondiMkome Diamond wewe.
sio kweli cheki mtv awards ya mwaka jana u tubeMondi na kiba wote mle mle, kama wanaona hawataelewa maswali wawe na wakalimani tu, wataeleweka mboma mameneja wao ngeli inapanda? Na hawa mameneja si wangekuwa wanawashauri na kuwasaidia badala ya kukaa kwa audiance
A.k.a chafu kabisa roho mbaya....kawaambie dada zao watoke kariakoo waende ulaya!Diamond plutnumz,Simba,jini,mond bin Laden,Baba tiffa,WCB CEO, e.t.c......πππ
If you don't know english you better use your mother tongue language to speak in public Ali,Shame on you man umejaa misifa tu ona sasa unavyojiabisha mpaka wenzako wanakucheka,sawa english siyo lugha yetu ila si kwa ngeli hiyo ya you know mpaka kiti mzee,inshort umeboa sana!!!Poor kibakuli.[/QUOTE