huyo veron ndio kaisha kinoma .Mechi imeisha muda si mrefu, jamaa wamechezea kichapo 1-0. Duh Veron kala kadi nyekundu.
mechi zimebaki ngapi kwani ?Argentina wa tano, washukuru Colombia wamepigwa bao maana ata hiyo nafasi ya tano wangeikosa. Brazil na Chile muda huu.
mechi zimebaki ngapi kwani ?
kwahio akifanya mchezo anaweza kukosa hata hio nafasi ya 5 kama ndio hivyo.Zimebaki mechi mbili
Argentina vs Peru
Argentina vs Uruguay.
Colombia kabakia na mechi na
Chile na Paraguay.
jamaa maradona wamfukuze yule ,wakiweza kuhold nafasi ya tano wataweza kwenda kupitia kwenye play offs labda manake ngoma yao ngumu sana.
Ooh My Argentina, Ooh El Pibo unatupeleka wapi unataka 2010 nisiangalie kabisa World Cup, Mrejeshe Football Geneus Riquelme
Yes., i said it right from the genesis, kuwa selection ya Maradona kuwa kocha ni more 'emotional' than 'rational'. Kimsingi it has been good for him na bad for the team...'coz at the end of the day amekuwa busy akakosa mda wa kufanya utumbo wake nje ya uwanja, ila wakim-sack tu!, aisee the next week atakutwa kajidunga kupitriza.Maradona is a motivator and not a coach.... he has to go!!! hata selection ya timu yake haieleweki; sijaona any use ya wale lethal strikers wake
Argentina coach Diego Maradona has called on God's hand to shield the South American country from World Cup elimination.
'The Beard (God) saved me many times, I hope he saves me this time too,' said Maradona, whose notorious 'Hand of God' goal during Argentina's 1986 quarter-final against England is one of the most talked about at a World Cup.
Argentina are fifth in the South American group, in the berth for a playoff against the team finishing fourth in the CONCACAF region. The top four go through automatically.
They face Peru and Uruguay in their final qualifiers next month, looking to at least remain where they are as they try to avoid missing the finals for the first time since 1970.
'We have to get it into our heads that these two matches are fundamental, that we can no longer go on giving things away like we did against Brazil,' Maradona told the local Cadena 3 broadcaster in an interview.
Argentina lost 3-1 at home to Brazil and 1-0 away to Paraguay earlier this month.
Maradona, who as captain led Argentina to victory in the 1986 tournament in Mexico, has often said God saved him when he put his life in danger over his drug and alcohol addictions.
Timu ilikuwa ishalosti. Ndio maana wakamwita Diego awape hamasa. Riquelme akaleta kiburi chake akasepa. Sasa ngoma ni nzito. Ila piga ua Sauzi watakwenda na El Pibo!