Dreamliner
JF-Expert Member
- Jan 17, 2010
- 2,034
- 214
Kwenye facebook page ya Gadner Habash, picha zake zote yuko na mwanadada Jide. Ina maana Gadner hana private life zaidi ya kuwa na Jaydee? Ukiingia page ya Jide, ni tofauti kabisa........au ndo penzi kukolea wajameni?
a very spectacular respond... thats what great thinker means... huwezi kuweka thread za kiumbea umbea humu shukrani mkuu kwa kumjibu huyu namna hii nimekugongea ka thanks kuonyesha msisitizoHivi MALIPO ya DOWANS yamefikia wapi vile?
Deodat umesema tuwe kama wazungu "yeah your right" huku wanapitisha sheria ya wanawake kwa wanakwe kuoana na wanaume kwa wanaume kuoana. Kwa hiyo itabidi tuombe Bunge letu lipitishe sheria na sisi tufanye si ndiyo ndugu yangu?? maana ndiyo kuwa kama wazungu.
a very spectacular respond... thats what great thinker means... huwezi kuweka thread za kiumbea umbea humu shukrani mkuu kwa kumjibu huyu namna hii nimekugongea ka thanks kuonyesha msisitizo
What then is the use of the celebrity forum, hebu tujifunze kuwa kama wazungu, kama huna cha kuchangia unachungulia na kusepa. Hii ni forum sio majungu, wewe ni premium member lakini mshamba.
Achana na ya kujisaidia barabarani, unajiabisha unapokuwa kijibwa cha Gadner na ukiona kasemwa unakuja juu, nini maana ya JF kuwa na page ya celebrities. Tuige mifano bora kwa wenzetu......BADILIKA, KUBALI UMECHEMSHA.
Kwenye facebook page ya Gadner Habash, picha zake zote yuko na mwanadada Jide. Ina maana Gadner hana private life zaidi ya kuwa na Jaydee? Ukiingia page ya Jide, ni tofauti kabisa........au ndo penzi kukolea wajameni?
Kwenye facebook page ya Gadner Habash, picha zake zote yuko na mwanadada Jide. Ina maana Gadner hana private life zaidi ya kuwa na Jaydee? Ukiingia page ya Jide, ni tofauti kabisa........au ndo penzi kukolea wajameni?
Ahahaaah! Watu wana hasira za dowans na matokeo mabovu ya form four, nae analeta stori zisizo na maana.mmh jamani mmemshambulia!muoneeni huruma basi harudii tena
Watu wengine sijui wana matatizo gani!
Umeona eeh..What then is the use of the celebrity forum, hebu tujifunze kuwa kama wazungu, kama huna cha kuchangia unachungulia na kusepa. Hii ni forum sio majungu, wewe ni premium member lakini mshamba.
kwenye facebook page ya gadner habash, picha zake zote yuko na mwanadada jide. Ina maana gadner hana private life zaidi ya kuwa na jaydee? Ukiingia page ya jide, ni tofauti kabisa........au ndo penzi kukolea wajameni?