it depends with what?
Wapi sweetlady jamani sangara asijejitia kitanzi.
Like i said...AD knows her bro...
we nenda mliwaze mwenzio kule kny kusasambua hapa tuachie sangara wetu...
Husny hapo ndio nimeshindwa muelewa Sangara... Unakumbuka siku ile ya muziki alimwaga mwanyanga wazi kabisa kwa Sweetlady??
hahahaha! Mi acha nimliwaze sangara bwana hadi swtlady arudi. Hujambo we mdada? Umeadimika kama ushuzi wa kuku.
siku ile bado kidogo nimwite shehe afungishe ndoa ya mkeka aisee maana nilimuona swtlady anarembua kuonesha kukubali.
sijambo myd,kuadimika kwangu nilikuwa namuwekea dhamana kloro...mzima lkn?nilikumiss itabidi nikung'ate sikio..
Mie waliniambia tayari.... Imagine Sweetlady is my second Best Wifi..... Hii habari ya Sangara hii...... Dah!
Vitu kama hivi mtu falls in love with the idea of how huyo mtu yupo.... Which in most cases wakionana yaweza kua bonge la dissapointment...
Basi na mimi nimekufa juu yako Ashadii,mweh!
unajua nilikuwa sijasoma thread ya kusasambua. Dah, kipaseli bwana kina balaa. Nishategesha misikio yangu nasubiri kung'atwa.
mwenzangu kipasel ni kikali embu enda ukamtulize kidogo..lol
yule nilishakuachia wewe umpe ushauri nasaha na kupima akili.
hahahaha..aisee simuwezi wacha nikurudishie mzigo wako waweza mkabidhi AshaDii...
mmh! Tutamtesa tu ashadii labda tukakachinjie baharini.
hilo nalo neno lkn nakaonea huruma ujue, au tumpe sweetlady maana sangara kapata mwingine..
@wiselady tusepe bwana naona stelingi sangara na swtlady wametukimbia.
Sangara hajakimbia ameganda hapa chini, naona anatafakari...
Vitu kama hivi mtu falls in love with the idea of how huyo mtu yupo.... Which in most cases wakionana yaweza kua bonge la dissapointment...
Cheki PM...utanielewa.....
Husny hapo ndio nimeshindwa muelewa Sangara... Unakumbuka siku ile ya muziki alimwaga mwanyanga wazi kabisa kwa Sweetlady??
Sangara hapa you are Wrong.... I don't know her.... (for the one I know tayari ushamwambia....)