Poor media visibility ya Mchakato wa kumpata mgombea Urais CHADEMA

Poor media visibility ya Mchakato wa kumpata mgombea Urais CHADEMA

Kejuu

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2020
Posts
645
Reaction score
906
Ndugu zangu,

Napenda kumshukuru Mungu kwa kutupa uhai katika siku ya leo. Uongozi wa CHADEMA, katika kitengo cha media communication kimeprove failure katika jambo hili muhimu la kichama, na hii inanipa maswali mengi ya kujiuliza. Mojawapo ya maswali ni kama yafuatayo:
  1. Je, hawa jamaa hawajui kuwa na high media coverage ni sehemu mojawapo ya kampeni za awali?
  2. Kama wanajua, tatizo linaweza kuwa hawana pesa ya kufinance jambo kubwa lakichama kama hili?
  3. Au inawezekana kuwa tayari mwenyekiti anasave kwa ajili ya kuwapiga tena, kwa njia ya kuwakopesha ili waingie kwenye mzigo wa deni lisilolipika tena (debt trap)?
Kuna ndugu mmoja humu eti alisema media zinaogopa kwenda kufanya coverage ya mkutano huu wa kichama. Haya ni mawazo mgando kabisa, kwani hilo siyo jambo halali? Media ziko pale kwa ajili ya kufanya business, however come anawekwa live. Kiujumla hapa issue kubwa ni uongozi mbovu na umeprove failure kabisa.

Maybe jamaa saizi ana-buy time (I think you know whom I'm referring to), baadaye ataingia na gia ya kukikopesha chama tena, ambazo ni hela zile zile alizozikwapua for the past years ndani ya chama. Myinka et al, be careful saizi kuhusu kukopeshwa na mwenyekiti wenu (a debt trap). Waitara ashafichua uovu huo (deni la uchaguzi mkuu kwa ajili ya kampeni), use it positively.

Namalizia na kusema, uongozi wa cdm umefeli sana kwenye media coverage ya mchakato, msizilaumu media hata kwa namna yoyote ile.

Asante sana,
Nawasilisha
Kejuu
 
Ndugu zangu,

Napenda kumshukuru Mungu kwa kutupa uhai katika siku ya leo. Uongozi wa CDM, katika kitengo cha media communication kimeprove failure katika jambo hili muhimu la kichama, na hii inanipa maswali mengi ya kujiuliza. Mojawapo ya maswali ni kama yafuatayo
Yaani wewe ulitegemea media gani hasa iende kutangaza mambo ya CHEDEMA. Kuna media inapenda fa....ni kwani? wanaogopa ila nyuma ya pazia wanashangilia ushindi wa Lissu jana
 
Katika watu ambao watanufaika sana katika uRais wa Lissu basi ni watu wa media. Jamaa ataijenga TBC1 mpya itayotangaza na habari za wapinzani, wengine wote watafuata nyayo. Zile sheria kandamizi zote zitafutwa.

Lissu amekuja kufungua milango yote iliyofungwa na watawala.

Lissu ni Mpango wa Mungu.
 
Media yoyote ambayo ingerusha live mkutano Wa chadema Jana ingefungiwa kama gazeti LA Tanzania daima.ccm ubaguzi umewajaa.lissu atafuta ubaguzi.Sisi wote Ni watanzania
 
Hayo mambo ya kukwapua mbona CAG huwa hayaoni anapokagua wewe una nia ovu tu sababu pesa inayokaguliwa na CAG huwezi kukwapua akikagua sinataona pesa imetoka bila sababu. Usifikirie kila mtu mjinga wa matumizi ya pesa za umma.
 
Ndugu zangu,

Napenda kumshukuru Mungu kwa kutupa uhai katika siku ya leo. Uongozi wa CHADEMA, katika kitengo cha media communication kimeprove failure katika jambo hili muhimu la kichama, na hii inanipa maswali mengi ya kujiuliza. Mojawapo ya maswali ni kama yafuatayo:..
Umemaliza? Nenda kigamboni ukalipwe,hana kazi ya kufanya yupo anacheza na mtoto tu ofisi amenyang'anywa jana na kunenge
 
Social Media kwa sasa ni kubwa zaidi ya Media zote ndani ya hii nchi.


Wanataka mpaka TBC na Uhuru iwataje ndipo walizike.

Wakati hata FACEBOOK tu inatosha.

Binafsi kwa mwezi mmoja nasikiliza radio.

Lakini kila baada ya masaa matatu lazima niingie facebook kuchati juu ya biashara ninayoifanya katika group letu.
 
Wewe ni mjinga!Ina maana hujui kuwa vyombo vya habari vya Tanzania vimewekwa mfukoni na mtu mmoja na kazi yake ni kumtumikia huyo mtu mmoja?!
Wewe ni mpumbavu!

Tatizo lenu ni wapiga kelele huku kadi za kupigia kura kumbe hamna!

Yani mmeshindwa hata kuwela online chanel kule youtube
 
Ndugu zangu,

Napenda kumshukuru Mungu kwa kutupa uhai katika siku ya leo. Uongozi wa CHADEMA, katika kitengo cha media communication kimeprove failure katika jambo hili muhimu la kichama, na hii inanipa maswali mengi ya kujiuliza. Mojawapo ya maswali ni kama yafuatayo:..
Unaishi Tanzania?
 
Wewe mambo ya Chadema hayakuhusu achana na chama pendwa kitawasumbua sana.
 
Back
Top Bottom