Raphael Thedomiri
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 442
- 729
Habari zenu wana-jf wenzangu! Tumsifu Yesu Kristu!
Hakuna kizuri kisichokuwa na dosari na vilevile hakuna kibaya kisichokuwa na uzuri wowote.
Sasa je ni yapi mazuri na mabaya na changamoto katika uongozi wa papa Francis!
Hakuna kizuri kisichokuwa na dosari na vilevile hakuna kibaya kisichokuwa na uzuri wowote.
Sasa je ni yapi mazuri na mabaya na changamoto katika uongozi wa papa Francis!