ze farmer
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 922
- 1,804
Mabibi na mabwana
Mtakumbuka enzi za popobawa kushika hatamu ambavyo aliwashikisha adabu wachungaji, waumini, mashehe, wanasiasa, na hata wageni walio itembelea Tanzania. Hakika nchi haikutawaliwa kabisa. Kila usiku ulivoingia kila mwananchi aliingia kulala bila ya kuwa na matumaini ya kuamka salama au akiwa amedhurika.
Sasa wakuu huyu wa sasa ameshika hatamu na anamshikisha adabu kila mwananchi isipokuwa wateule wacheche mbona tumekuwa hatushituki. Kila ukienda kulala huoni kesho yako kama i salama au la.
Labda tutegemee mabadiliko mana mwaka pendwa unakaribia.
Andaeni vichinjio.
Mtakumbuka enzi za popobawa kushika hatamu ambavyo aliwashikisha adabu wachungaji, waumini, mashehe, wanasiasa, na hata wageni walio itembelea Tanzania. Hakika nchi haikutawaliwa kabisa. Kila usiku ulivoingia kila mwananchi aliingia kulala bila ya kuwa na matumaini ya kuamka salama au akiwa amedhurika.
Sasa wakuu huyu wa sasa ameshika hatamu na anamshikisha adabu kila mwananchi isipokuwa wateule wacheche mbona tumekuwa hatushituki. Kila ukienda kulala huoni kesho yako kama i salama au la.
Labda tutegemee mabadiliko mana mwaka pendwa unakaribia.
Andaeni vichinjio.