Popote nilipo nawezaje kuzitambua pande kuu nne za dunia?

Popote nilipo nawezaje kuzitambua pande kuu nne za dunia?

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Naomba kujua nitatambuaje dira za dunia ie nikisimama mahali popote nitajuaje kuwa West ni huku, East North and South.
 
Angalia Jua Linapochomoza (Mashariki) Linapozama (Magaharibi), Hivyo Tumia Kivuli Chako Huku Ukiwa Umetanua Mikono, Mkono Wa Kulia Jua Linapochomoza Paite Mashariki, Mkono wa Kushoto Jua Linapozama Paite Magharibi, Kichwani Paite Kaskazini na Miguuni Paite Kusini.

(Yote Hayo Unayafanya Kupitia Kivuli Chako)
 
Naomba kujua nitatambuaje dira za dunia ie nikisimama mahali popote nitajuaje kuwa West ni huku, East North and South.

Njia thabiti kabisa ni kuwa na compass, GPS na kuwa na ufahamu wa ramani ya dunia kama globe.

Compass ina sumaku ndani ambayo hujielekeza ilipo north pole kila wakati kutokea ulipo hivyo kwa ujumla kuakisi kote kwingine.

GPS itakupa point kamili ulipo kwenye uso wa dunia.

Mawili hayo pamoja na ufahamu wa ulipo kwenye globe yatakuwezesha kwa kikamilifu kujua directions zako (N, E, S, W) pasipokuwa na chembe ya shaka.
 
Njia thabiti kabisa ni kuwa na compass, GPS na kuwa na ufahamu wa ramani ya dunia kama globe.

Compass ina sumaku ndani ambayo hujielekeza ilipo north pole kila wakati kutokea ulipo hivyo kwa ujumla kuakisi kote kwingine.

GPS itakupa point kamili ulipo kwenye uso wa dunia.

Mawili hayo pamoja na ufahamu wa ulipo kwenye globe yatakuwezesha kwa kikamilifu kujua directions zako (N, E, S, W) pasipokuwa na chembe ya shaka.
asante kamanda! Campass napata wapi? zinauzwa wapi?
 
Angalia Jua Linapochomoza (Mashariki) Linapozama (Magaharibi),Hivyo Tumia Kivuli Chako Huku Ukiwa Umetanua Mikono,Mkono Wa Kulia Jua Linapochomoza Paite Mashariki,Mkono wa Kushoto Jua Linapozama Paite Magharibi,Kichwani Paite Kaskazini na Miguuni Paite Kusini.

(Yote Hayo Unayafanya Kupitia Kivuli Chako)

Mkuu ikiwa usiku, kukiwa na mawingu?

Ukiwa kwenye northern au southern hemisphere je?
 
Mkuu ikiwa usiku, kukiwa na mawingu?

Ukiwa kwenye northern au southern hemisphere je?
Majibu ya mdau ni rahisi kwa mazingira rahisi(ya kawaida). Nimemwelewa sana!

Zaidi ya hapo ndio zana zitumike kama ulivyoshauri.
 
asante kamanda! Campass napata wapi? zinauzwa wapi?

Zitakuwapo madukani. Inabidi kuzunguka kuulizia hasa kwenye maduka yanayohusika na "measuring instruments."

Tuko uchumi wa kati sasa hivi vitu vingi vipo madukani.

Meli zinasafiri salama mida yote bila kupotea kwa msaada wa vitu kama hivi.

 
Mkuu ikiwa usiku, kukiwa na mawingu?

Ukiwa kwenye northern au southern hemisphere je?
Utatumia Majengo ya Msikiti Kutizama Jengo Limejengwa Uelekeo Gani,Kwa Msikiti Kibla Huelekea Mashariki,Hivyo Pande Zilizobakia Utazipata kwa Utaratibu Nilioueleza Hapo Mwanzo.
 
Utatumia Majengo ya Msikiti Kutizama Jengo Limejengwa Uelekeo Gani,Kwa Msikiti Kibla Huelekea Mashariki,Hivyo Pande Zilizobakia Utazipata kwa Utaratibu Nilioueleza Hapo Mwanzo.

Kibongo bongo sawa.

Ukiwa India au Senegal misikiti imejengwa kuelekea upande gani?

Kumbuka Kibla ni uelekeo wa Mecca tokea jengo lilipo.
 
Sijawahi Fika Sehemu Tajwa,Sina Tafiti ya Zaidi Kuhusu Pande Uelekeo Ulipo,Ila Njia za Kiasili Kujua Pande Kuu Nne Ni Hizo Mbili Na Ya Mwisho ya Tatu Ni Kwa Kutumia Makaburi (Ya Jumuia) Mara Nyingi Anapozikwa Mtu Uelekeo Ni Kaskazini,Aghalabu Huelekezwa Mashariki.

Asante.

Kibla ni uelekeo wa (Kaaba) Mecca ambako waislam huelekea wakiswali na hivyo urlekeo wa misikiti.

Uelekeo huo si lazima uwe Kaskazini kutegemea na mtu ulipo kwenye uso wa dunia.

Kutokea Tanzania ni Kaskazini ndiyo maana nikasema kibongo bongo ni uelekeo sahihi wa iliko Kaskazini.

Kwa vile mleta mada aliridhika na litokeapo jua - scope imeeleweka mkuu.
 
Kibla ni uelekeo wa (Kaaba) Mecca ambako waislam huelekea wakiswali na hivyo urlekeo wa misikiti.

Uelekeo huo si lazima uwe Kaskazini kutegemea na mtu ulipo kwenye uso wa dunia.

Kutokea Tanzania ni Kaskazini ndiyo maana nikasema kibongo bongo ni uelekeo sahihi wa iliko Kaskazini.

Kwa vile mleta mada aliridhika na litokeapo jua - scope imeeleweka mkuu.
Pamoja
 
Njia thabiti kabisa ni kuwa na compass, GPS na kuwa na ufahamu wa ramani ya dunia kama globe.

Compass ina sumaku ndani ambayo hujielekeza ilipo north pole kila wakati kutokea ulipo hivyo kwa ujumla kuakisi kote kwingine.

GPS itakupa point kamili ulipo kwenye uso wa dunia.

Mawili hayo pamoja na ufahamu wa ulipo kwenye globe yatakuwezesha kwa kikamilifu kujua directions zako (N, E, S, W) pasipokuwa na chembe ya shaka.
Nakazia ✍️✍️✍️
 
Angalia Jua Linapochomoza (Mashariki) Linapozama (Magaharibi), Hivyo Tumia Kivuli Chako Huku Ukiwa Umetanua Mikono, Mkono Wa Kulia Jua Linapochomoza Paite Mashariki, Mkono wa Kushoto Jua Linapozama Paite Magharibi, Kichwani Paite Kaskazini na Miguuni Paite Kusini.

(Yote Hayo Unayafanya Kupitia Kivuli Chako)
Mtu katoka Mwanza huko.... hajawahi kufika DAR.... Kashuka DAR usiku... anajuaje Jua linavochomoza DAR? Usiku anapata wapi Kivuli cha Jua?
 
Mtu katoka Mwanza huko.... hajawahi kufika DAR.... Kashuka DAR usiku... anajuaje Jua linavochomoza DAR? Usiku anapata wapi Kivuli cha Jua?
Huyu Atakuwa Mshamba Kabisa Nitamwacha Ashangae Mataa 😂😂 Joke...........

Mkuu Kinadharia Nimeelezea Huko Ktk Comv Zilizopita,Nimetaja Msikiti,Kanisa na Makaburi (Kiasili)

Soma Uelewe,Lakini Pia Pengine Unayo Maarifa Ya Zaidi Kuhusu Njia Za Kiasili Kupata Uelekeo,Tusaidie Tafadhali.
Njia Za Kiteknolojia Zipo Nyingi Kuna Mdau Kaelezea Uzuri Kabisa Huko Juu
 
Utatumia Majengo ya Msikiti Kutizama Jengo Limejengwa Uelekeo Gani,Kwa Msikiti Kibla Huelekea Mashariki,Hivyo Pande Zilizobakia Utazipata kwa Utaratibu Nilioueleza Hapo Mwanzo.
Msikiti wa wapi kibla imeelekea mashariki?
 
Back
Top Bottom