PRECIOUSDOE
Senior Member
- Feb 3, 2009
- 114
- 12
Wenzangu juzi mwenzangu akaniambia eti mumewe huwa analeta movie za porno waone kabla waelekee bedroom.yeye alisema kweli zinamleta juu kiasi ambacho mumewe kwa kawaida hawezi, tena haraka mno lakini nafsi yake inamhukumu anafanya maovu.Wenzagu munaonaje pornography ku enhance sex life kwenye ndoa???
Porno si nzuri hasa kwa wanandoa!
kweli ni uteja kuna jamaa yangu mmoja alikuwa ame-save porns kibao kwenye laptop siku moja akadai anaacha akazifuta zote akakaa kama wiki hivi bila kuangalia kumbe mzigo aliutupia kwenye recycle bin baada ya kuzimiss akaretrieve mzigo kama kawa na kuendelea kula chabo:confused2: Eeeh ni kweli; lazima tukubali kuwa kuangalia porn kama starter kuna madhara kwa kuwa mara nyingi hii itaelekea kuwa ni tabia yenu......kitu kikubwa watu wanasahau ama kutokuelewa ni kwamba Por atist ni proffesionals..........na porn ni biashara........na ili biashara yoyote iuze lazimaiwe n mvuto.na mvuto kwenye porn i hivyo vitu amabvyo mie na wewe huviona kuwa ni extra.
Well athari yake ni kama aipatayo teja..............kwa mamneno mengine!
Porn is the shiznit....
Btw, Montana Fishburne, Laurence Fishburne's daughter is a porno star now and she goes by the name of Chippy D....you can check her out in action with Brian Pumber on spankwire....