Porojo za Siasa za Kenya na Ukabila, Umaskini wao, Njaa na Chakula

Porojo za Siasa za Kenya na Ukabila, Umaskini wao, Njaa na Chakula

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Kuna watu na mataifa yanayoizunguka Kenya wanapenda sana kujijaza upepo na kujifariji ili mambo yanavyofanyika na hali za nchini mwao yaonekane mazuri.

Siasa na Ukabila
Siasa za Kenya sio za Ukabila bali za maslahi na jiografia.

Watu wanaofanya biashara wanapenda siku zote kuwakilishwa katika ngazi muhimu na mtu anayefanya au kuelewa vizuri biashara kama wao. Wakulima mara nyingi hupenda mfanyabiashara awawakilishe na mara nyingi pia mkulima huwa mfanyabiashara

Wafugaji siku zote wanapenda kuwakilishwa na mfugaji mwenzao au mtu anayelewa mambo na maslahi yanayohusu ufugaji.

Haya ndio makundi ambayo mara nyingi yanaamua siasa za Kenya, maeneo na makabila yanaingia humo ila sio karata turufu. Wakenya wanachangamana vizuri sana kwa makabila yao tofauti bila ubaguzi wowote.

Umaskini
Kuna porojo huwa zinasambaa sana mitandaoni kusema hali ya umaskini Kenya ni ya kutisha. Sio kweli, Kenya ina asilimia chache ya maskini kuliko nchi zote za Africa mashariki kwa 17% ya raia wake

Chakula
Kenya haina shida au njaa ya Chakula, kuna watu wanafikiri Kenya kununua chakula nchini za jirani ni sababu ya matatizo ya Kilimo. Sio kweli, sababu ni pesa waliyo nayo.

Njaa inaletwa na ukosefu au uduni wa kipato.
 
umeenda speed sana mkuu.toa ufafanuzi wa kina kwenye kila kipengele.
 
Nchi yenye GDP ya above 100billion USD na population ya less than 60 million, sio mbaya kiafrica, japo Africa subsahara wote maisha tunafanana. Ni hand to mouth.
 
mkuu umeingia kichwa kichwa ktk jambo ambalo hujalielewa.
wewe kuwahusudu kenya isiwe sababu ya kuwasifia kwa kila jambo.yako mambo wako vyema lakini sio huko.

mgawanyiko kitaifa unazingatia mambo hayo,ukabila,ukanda ambao ndio umeutaja hapo,udini.

wakati JK sr anakata hizi bond za kijinga jinga kupitia sera zake za ujamaa,alitaja moja ya sera hasi za kibepari ni hiyo,ubinafsi.

leo uingizwe bungeni kisa unaujua vyema ufugaji wa ng'ombe na biashara ya maziwa,wakulima wa bania jimboni kwako watasemewa na nani??leo hii mimi nakupa kura yangu TZ uende bungeni au ikulu sababu utakuwa tayari kunisikiliza nikija kulalamika sio sababu wewe ni jamaa yangu.

kuhusu chakula jamaa yangu sio swala la pesa,ni ukame sehemu kubwa waliyo nayo wanashindwa kuzalisha chakula cha kuwatoshwa wenyewe,kwenye hilo ungewasifu kwa kuweza kutafuta hiyo pesa ya kununua chakula nje.sio hicho ulichoakifanya.
 
mkuu umeingia kichwa kichwa ktk jambo ambalo hujalielewa.
wewe kuwahusudu kenya isiwe sababu ya kuwasifia kwa kila jambo.yako mambo wako vyema lakini sio huko.

mgawanyiko kitaifa unazingatia mambo hayo,ukabila,ukanda ambao ndio umeutaja hapo,udini.

wakati JK sr anakata hizi bond za kijinga jinga kupitia sera zake za ujamaa,alitaja moja ya sera hasi za kibepari ni hiyo,ubinafsi.

leo uingizwe bungeni kisa unaujua vyema ufugaji wa ng'ombe na biashara ya maziwa,wakulima wa bania jimboni kwako watasemewa na nani??leo hii mimi nakupa kura yangu TZ uende bungeni au ikulu sababu utakuwa tayari kunisikiliza nikija kulalamika sio sababu wewe ni jamaa yangu.
Ili mradi tu na wewe umechangia mada au vipi….
 
Kuna watu na mataifa yanayoizunguka Kenya wanapenda sana kujijaza upepo na kujifariji ili mambo yanavyofanyika na hali za nchini mwao yaonekane mazuri.

Siasa na Ukabila
Siasa za Kenya sio za Ukabila bali za maslahi na jiografia.

Watu wanaofanya biashara wanapenda siku zote kuwakilishwa katika ngazi muhimu na mtu anayefanya au kuelewa vizuri biashara kama wao. Wakulima mara nyingi hupenda mfanyabiashara awawakilishe na mara nyingi pia mkulima huwa mfanyabiashara

Wafugaji siku zote wanapenda kuwakilishwa na mfugaji mwenzao au mtu anayelewa mambo na maslahi yanayohusu ufugaji.

Haya ndio makundi ambayo mara nyingi yanaamua siasa za Kenya, maeneo na makabila yanaingia humo ila sio karata turufu. Wakenya wanachangamana vizuri sana kwa makabila yao tofauti bila ubaguzi wowote.

Umaskini
Kuna porojo huwa zinasambaa sana mitandaoni kusema hali ya umaskini Kenya ni ya kutisha. Sio kweli, Kenya ina asilimia chache ya maskini kuliko nchi zote za Africa mashariki kwa 17% ya raia wake

Chakula
Kenya haina shida au njaa ya Chakula, kuna watu wanafikiri Kenya kununua chakula nchini za jirani ni sababu ya matatizo ya Kilimo. Sio kweli, sababu ni pesa waliyo nayo.

Njaa inaletwa na ukosefu au uduni wa kipato.
Mkuu, bado pombe haijatoka kichwani mwako?[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Maajabu ni kwamba Wakenya wenyewe hawalalamiki huo Ukabila, mnaolalamika ni nyie Watanganyika.

Wakenya wamechangangikana kwenye serikali yao tangu Uhuru, Oginga Odinga na Daniel Arap Moi wamekuwa makamu wa Kenyatta na hawakuwa wa Kabila lake

Jeshi la Kenya limewahi kuwa hadi na mkuu wa majeshi Msomali.

Spika wa Bunge la Kenya anayemaliza muda wake sasa ni Msomali kwa asili.

Mbunge aliyeshinda nyumbani kwa Rais Uhuru anatoka UDA ya Ruto.

Uhuru Kenyatta amewahi kushirikiana na Moi, Ruto na sasa Odinga, hawa wote ni makabila tofauti.

Ukifika kwenye ofisi za Kenya na makampuni watu wako mchangangiko.

Kenya maendeleo kwenye maeneo wapinzani na chama kilicho madarakani hakuna tofauti.
mkuu umeingia kichwa kichwa ktk jambo ambalo hujalielewa.
wewe kuwahusudu kenya isiwe sababu ya kuwasifia kwa kila jambo.yako mambo wako vyema lakini sio huko.

mgawanyiko kitaifa unazingatia mambo hayo,ukabila,ukanda ambao ndio umeutaja hapo,udini.

wakati JK sr anakata hizi bond za kijinga jinga kupitia sera zake za ujamaa,alitaja moja ya sera hasi za kibepari ni hiyo,ubinafsi.

leo uingizwe bungeni kisa unaujua vyema ufugaji wa ng'ombe na biashara ya maziwa,wakulima wa bania jimboni kwako watasemewa na nani??leo hii mimi nakupa kura yangu TZ uende bungeni au ikulu sababu utakuwa tayari kunisikiliza nikija kulalamika sio sababu wewe ni jamaa yangu.

kuhusu chakula jamaa yangu sio swala la pesa,ni ukame sehemu kubwa waliyo nayo wanashindwa kuzalisha chakula cha kuwatoshwa wenyewe,kwenye hilo ungewasifu kwa kuweza kutafuta hiyo pesa ya kununua chakula nje.sio hicho ulichoakifanya.
 
Kuna watu na mataifa yanayoizunguka Kenya wanapenda sana kujijaza upepo na kujifariji ili mambo yanavyofanyika na hali za nchini mwao yaonekane mazuri.

Siasa na Ukabila
Siasa za Kenya sio za Ukabila bali za maslahi na jiografia.

Watu wanaofanya biashara wanapenda siku zote kuwakilishwa katika ngazi muhimu na mtu anayefanya au kuelewa vizuri biashara kama wao. Wakulima mara nyingi hupenda mfanyabiashara awawakilishe na mara nyingi pia mkulima huwa mfanyabiashara

Wafugaji siku zote wanapenda kuwakilishwa na mfugaji mwenzao au mtu anayelewa mambo na maslahi yanayohusu ufugaji.

Haya ndio makundi ambayo mara nyingi yanaamua siasa za Kenya, maeneo na makabila yanaingia humo ila sio karata turufu. Wakenya wanachangamana vizuri sana kwa makabila yao tofauti bila ubaguzi wowote.

Umaskini
Kuna porojo huwa zinasambaa sana mitandaoni kusema hali ya umaskini Kenya ni ya kutisha. Sio kweli, Kenya ina asilimia chache ya maskini kuliko nchi zote za Africa mashariki kwa 17% ya raia wake

Chakula
Kenya haina shida au njaa ya Chakula, kuna watu wanafikiri Kenya kununua chakula nchini za jirani ni sababu ya matatizo ya Kilimo. Sio kweli, sababu ni pesa waliyo nayo.

Njaa inaletwa na ukosefu au uduni wa kipato.
Kenya Ni Canada ya Afrika
 
Maajabu ni kwamba Wakenya wenyewe hawalalamiki huo Ukabila, mnaolalamika ni nyie Watanganyika.

Wakenya wamechangangikana kwenye serikali yao tangu Uhuru, Oginga Odinga na Daniel Arap Moi wamekuwa makamu wa Kenyatta na hawakuwa wa Kabila lake

Jeshi la Kenya limewahi kuwa hadi na mkuu wa majeshi Msomali.

Spika wa Bunge la Kenya anayemaliza muda wake sasa ni Msomali kwa asili.

Mbunge aliyeshinda nyumbani kwa Rais Uhuru anatoka UDA ya Ruto.

Uhuru Kenyatta amewahi kushirikiana na Moi, Ruto na sasa Odinga, hawa wote ni makabila tofauti.

Ukifika kwenye ofisi za Kenya na makampuni watu wako mchangangiko.

Kenya maendeleo kwenye maeneo wapinzani na chama kilicho madarakani hakuna tofauti.
Tembelea Garissa na Wajir
 
Kuna watu na mataifa yanayoizunguka Kenya wanapenda sana kujijaza upepo na kujifariji ili mambo yanavyofanyika na hali za nchini mwao yaonekane mazuri.

Siasa na Ukabila
Siasa za Kenya sio za Ukabila bali za maslahi na jiografia.

Watu wanaofanya biashara wanapenda siku zote kuwakilishwa katika ngazi muhimu na mtu anayefanya au kuelewa vizuri biashara kama wao. Wakulima mara nyingi hupenda mfanyabiashara awawakilishe na mara nyingi pia mkulima huwa mfanyabiashara

Wafugaji siku zote wanapenda kuwakilishwa na mfugaji mwenzao au mtu anayelewa mambo na maslahi yanayohusu ufugaji.

Haya ndio makundi ambayo mara nyingi yanaamua siasa za Kenya, maeneo na makabila yanaingia humo ila sio karata turufu. Wakenya wanachangamana vizuri sana kwa makabila yao tofauti bila ubaguzi wowote.

Umaskini
Kuna porojo huwa zinasambaa sana mitandaoni kusema hali ya umaskini Kenya ni ya kutisha. Sio kweli, Kenya ina asilimia chache ya maskini kuliko nchi zote za Africa mashariki kwa 17% ya raia wake

Chakula
Kenya haina shida au njaa ya Chakula, kuna watu wanafikiri Kenya kununua chakula nchini za jirani ni sababu ya matatizo ya Kilimo. Sio kweli, sababu ni pesa waliyo nayo.

Njaa inaletwa na ukosefu au uduni wa kipato.
Sio Sisi tuliokutuma ukawa mkenya,ww kalilie huko kwenu Kenya.
 
Huwa mara nyingi nakuambia udiwe unajiingiza kwenye mijadala iliyokuzidi uwezo. Tatizo ni una upeo mdogo sana. Aliyekuambia Kenya maskini ni 17% ni nani? Uliposoma kasome tena, tatizo mnasoma lakini hamuelewi

Hjvi unaijua 17% kweli wewe? Kenya kufikia hiyo 17% labda 2040 huko. Acha ujinga

Kenya maskini ni 35%
 
Inasikitisha sana
1. kuna porojo zaid ya upumbavu wa tume yenu feki ya ccm mnayoiita NEC ambayo huwa inaengua wagombea wa upinzani na kufunga ofis ili wapinzani wasichukue na kurudisha form.

2. kuna porojo zaid ya hiyo tume yenu feki huko tanzania inayofanya mambo ya kipumbavu kama kunyima mawakala form za matokeo.

3. kuna porojo zaid ya upumbavu wa tume yenu feki inayozuia mawakala kuingia vituon.

4. kuna porojo zaid ya upumbavu wa tume yenu feki inayotengeneza kura feki na kumtangaza mshindi feki ambao hadi sasa hawawez kuitisha hata mikutano ya hadhara wakapata hata watu 15.

5. kuna porojo zaid ys upuuz wa tumeyenu feki anayozuia watu kujumlisha kura ambazo zimebandikwa vituo vya kura ili kujua idadi ya kura.

NOTE, mazezeta na nguruwe wa ccm wote mwisho wenu ni 2025 asali mtailambia burundi.
 
Huwa mara nyingi nakuambia udiwe unajiingiza kwenye mijadala iliyokuzidi uwezo. Tatizo ni una upeo mdogo sana. Aliyekuambia Kenya maskini ni 17% ni nani? Uliposoma kasome tena, tatizo mnasoma lakini hamuelewi

Hjvi unaijua 17% kweli wewe? Kenya kufikia hiyo 17% labda 2040 huko. Acha ujinga

Kenya maskini ni 35%
Proof?
Screenshot_20220819-141125_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom