Inawezekana tusubiri tuone.Drogba alikuwa akimia jovo na akarudo uwanjan lazima awachungulie..
Sijajua agenda ya ronadp..hueanda kaumia kweli
Anajivua lawama mapema.!Kwa kweli Cr 7 kaniskitsha sanaa
Pole in advance.!Daaaaa
Nadhani mlishajiandaa kisaikolojia mapema.!Basi tena Portugal tushafungwa kisaikolojia.
Hahahaah labda!Tutashinda tu bila ya ronaldo
Sisi ndio ma best looser
Hamna asingekubaki kama angekuepoAnajivua lawama mapema.!
Duh.!mazoez hana kazidisha kwenda moroco