Posh Queen: Mpenzi wangu anapata tabu sana

Yaani nimebaki nashangaa tu,alikuwa mzuri nabumboblake la wastani zuri,kawaje tena ?
Jaman,baba yake sijui ana hali gani mchungaji yule
Yeye mwenyewe hajionei huruma maana siku mavitu aliyoyaweka yakianza kuleta athari tutatafutana humu maana kipindi cha nyuma hakuaga hivyo alikua flat flat hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ni kweli wapo waliorithi!
Lkn sio huyu,Hakuna lolote,ulizeni wanaowajua vzr!
Ni kweli mama yake yupo hivo!
Nimewaona wote live tulikuwa pamoja mama,baba na huyo binti...hakua hivo japo alikuwa na umbile zuri tu la wastani lkn sio hips wala tako hilo!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu sio kweli!
Nabishaaa,awafahamu wote wawili,sema tu cm niliyopiga nae picha iliibiwa, ningeweka hapa!
Hizi sio hips za asili big no!
Lkn mama yake ,yes ndo alivyo!ana matako hana hips,na mtt alikuwa hivyo ana kashep kazuri tu ka kawaida sio hizi hips hapa! Big no!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kweli mkuu!
Labda umemfaham wakati kashajiongeza!
Hakua hivyo!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…