Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kazi kweli kweli.Mtoto wangu anaenda field mwezi wa July 2011amepewa sh 1000 eti ndo allowance ya chakula, hii serikali haiko serious kabisa
u cant be seriouz mkuu,ina maana ana asilimia ngap ya mkopo hadi apewe hyo buku?Mtoto wangu anaenda field mwezi wa July 2011amepewa sh 1000 eti ndo allowance ya chakula, hii serikali haiko serious kabisa
kama kawa,hiyo ni kawaida ye2 chalii yangu.Wacpo nilipa kwa wakat nagoma kama kawa!
Sasa ndio watachoma mavasitiz baada ya kilaji. They were thinking small in thuggery move after being made high, they (our scholars) will think big in that arena.Wacpo nilipa kwa wakat nagoma kama kawa!
Wamesema wataiboresha bodi ya mikopo kwa ajili ya kukopesha kwa wakati mwafaka na kufuatilia marejesho ya mikopo kwa wakati mwafaka. Labda kama ni politics tu.Kwa kweli maisha yamepanda ila angalau wamejitahidi kupandisha ila waboreshe na taratibu za bodi ya mkopo ili mkopo iwahi wanavyuo watulie wasome 2pate magraduates bora na sio bora graduates!!
migomo km kawa wanavyuo wanataka tsh 10,000 na sim 75,000.Shukuru kawambwa yuko hewani, anawasilisha bajeti ya elimu, habari njema kwa wanavyuo, posho imeongezwa toka elfu tano hadi elfu saba mia tano!. Migomo itakwisha vyuoni?
hawa jamaa porrrojo nyingi sana,kama unasoma ud ina takiwa upange karibu,na nyumba za karibu hyo mikodi yakeee,la cvyo ukapange huko mbagala makamasi chumba buku10 no maji no umeme...af nauli zake utakoma!kama kawa,hiyo ni kawaida ye2 chalii yangu.