T tisa desemba JF-Expert Member Joined Nov 13, 2011 Posts 434 Reaction score 115 Nov 9, 2012 #1 Kwa wale waliosimamia mtihani wa taifa kidato cha pili 2012 au wadau wengine wowote wa mtihani huu, naomba tujulishane mchanganuo wa posho ya usimamizi, semina na nauli kwa wasimamizi wakuu na wasaidizi. huku kwetu bado kitendawili DEO haeleweki.
Kwa wale waliosimamia mtihani wa taifa kidato cha pili 2012 au wadau wengine wowote wa mtihani huu, naomba tujulishane mchanganuo wa posho ya usimamizi, semina na nauli kwa wasimamizi wakuu na wasaidizi. huku kwetu bado kitendawili DEO haeleweki.
T tisa desemba JF-Expert Member Joined Nov 13, 2011 Posts 434 Reaction score 115 Nov 9, 2012 Thread starter #2 DEO anadai hajapata mchanganuo rasmi kutoka tamisemi, kwa sasa kaamua kutoa elfu 20 mara siku 5 kwa wasimamizi wote.
DEO anadai hajapata mchanganuo rasmi kutoka tamisemi, kwa sasa kaamua kutoa elfu 20 mara siku 5 kwa wasimamizi wote.