Ingetokea Leo kibaka YOYOTE mzoefu popote ulipo akakwapua simu ya mtendaji wa kata Leo angepiga bingooooo.
Leo ndo Leo wale wote walioshiriki kusimamia uchaguzi wa serikali ya MTAA ULIO ipa ccm ushindi asilimia 99 walikuwa wanapata mema ya nchi kutoka tamisemi.
Je, umejifujza Nini kwa uchaguzi iliyopita?