Jana tarehe 19/7/2021 katika kipindi cha dakika 45 kinachorushwa na ITV, Waziri Mwigulu akihojiwa na Farhia Midley:
Swali: Mnataka wananchi wafunge mikanda lakini nyinyi viongozi hamuonekani kufunga mkanda"
Jibu: "Kutokana na serikali kuwa serious na swala la kubana matumizi imefuta posho zote za watumishi na viongozi ili fedha hizo zikafanye shughuli za maendeleo"
Je, hili swala linawezekana kweli au ni kwenye media tu.
Ni posho gani zilizofutwa na serikali?
Swali: Mnataka wananchi wafunge mikanda lakini nyinyi viongozi hamuonekani kufunga mkanda"
Jibu: "Kutokana na serikali kuwa serious na swala la kubana matumizi imefuta posho zote za watumishi na viongozi ili fedha hizo zikafanye shughuli za maendeleo"
Je, hili swala linawezekana kweli au ni kwenye media tu.
Ni posho gani zilizofutwa na serikali?